Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,441
- 3,398
Inakuwaje WanaJamiiForums
Binafsi huwa najisahau sana kubeba akiba nikiwa matembezi kitaa, mpaka kuna mda najiuliza hivi ndo ile nipo road mara paap! Nimeipush sahani ya maandaz bahati nzuri Mama muuza maandazi kaiwahi sahani, ila limedondoka andazi moja ndo naambiwa ushukuru limeanguka moja tu, haya lipa mia hiyo usepe
Halafu ndo kidume kizima nasema eti nisubir niende home chap nakuletea, hii ni fedheha hii
Au ndo ile unashikwa shat kisa mia, maana watu wamevurugwa siku hizi
Kuondoa yote haya now natembea na buku kama kilinda mfuko, je wew ukiwa street unakuwa na sh ngap mfukoni?
Binafsi huwa najisahau sana kubeba akiba nikiwa matembezi kitaa, mpaka kuna mda najiuliza hivi ndo ile nipo road mara paap! Nimeipush sahani ya maandaz bahati nzuri Mama muuza maandazi kaiwahi sahani, ila limedondoka andazi moja ndo naambiwa ushukuru limeanguka moja tu, haya lipa mia hiyo usepe
Halafu ndo kidume kizima nasema eti nisubir niende home chap nakuletea, hii ni fedheha hii
Au ndo ile unashikwa shat kisa mia, maana watu wamevurugwa siku hizi
Kuondoa yote haya now natembea na buku kama kilinda mfuko, je wew ukiwa street unakuwa na sh ngap mfukoni?