fatu2010
Senior Member
- Mar 4, 2014
- 173
- 142
Dah enzi hizo niko Tukuyu nasoma sec school kati ya vitu ambavyo vilinipa kazi mpaka sasa ni kuoga maji ya baridi asubuhi ili kuwahi assembly. Hivi wewe ulikua unaoga maji baridi kwa staili gani ile asubuhi na ukungu ama baridi tu huku tukiaminishwa kuna ngiri (ugonjwa na sio warthog).
Style yangu ni kuimba imba kwa sauti kuubwa mpaka nazuga maji ya baridi nayazoea hatimaye naoga. Kuna mwingine alikua anapaka sabuni kwa boxer then ndipo anazoea...duh reminisce
Tiririkaaaaaaaaa,wewe unaanzaje kuoga maji baridi, hasa kama ni eneo la baridi?
Style yangu ni kuimba imba kwa sauti kuubwa mpaka nazuga maji ya baridi nayazoea hatimaye naoga. Kuna mwingine alikua anapaka sabuni kwa boxer then ndipo anazoea...duh reminisce
Tiririkaaaaaaaaa,wewe unaanzaje kuoga maji baridi, hasa kama ni eneo la baridi?