Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Nduugu wapendwa kwanza na wapa pole wale walioathirika na hili jani leo hii naweza sema kwa bara mna afadhali..serikali ya zanzibar imeshindwa kabisa kukontrol swala la unga na kufanya vijana karibia asilimia 50 wakiishia kula unga kwa mizgo inayoletwa na wale waitaliano wakishirikiana na viongozi wa serikaliin
Najua si kosa lenu lakini imefika wakati wa kusema saaasa jani/madawa basi..ni kweli mmekuwa mkijinadi limeumbwa na mUNGU kweli lakini mjue kila kitu kina kusudio lake na ndio maana leo wengine wako segerea ili kusudi la Mungu litimie na hili n kwa kushindwa kufanya kusudio lilotakiwa...
Kuna wengi wamekuwa wakiteseka kutokana na kushindwa kuelewa kusudi la Mungu..Lazima muwe makini hasa nyie viongozi ambao weni mmedai mnafanya biashara kujipatia kipato lakini amwelewi mnaawaathiri kivipi vijana wa tanzania mnachofanya mjue watoto wenu watafanywa hivyo hivyo kama wanavyopotea watoto wa wenzenu..tunajua mnaitaj kujaza yale magorofa lakin embu muwe na uwoga wa Mungu jamani imefika wakati muwe makini na mnachofanya
Kinachofanyika ni watu kupindisha kusudi lamungu kama ni hivyo lazima mjiulize kwa nini tumeacha kupika bangi na kupika mchicha /kisamvu hii ni kusudi la mungu litimilike leo hiina tangaza kuacha kula ganja in jesus name na wewe unaeuza adhabu ya uwatesao ikafwate kizazi chakao mpaka kitakapomalizika
Najua si kosa lenu lakini imefika wakati wa kusema saaasa jani/madawa basi..ni kweli mmekuwa mkijinadi limeumbwa na mUNGU kweli lakini mjue kila kitu kina kusudio lake na ndio maana leo wengine wako segerea ili kusudi la Mungu litimie na hili n kwa kushindwa kufanya kusudio lilotakiwa...
Kuna wengi wamekuwa wakiteseka kutokana na kushindwa kuelewa kusudi la Mungu..Lazima muwe makini hasa nyie viongozi ambao weni mmedai mnafanya biashara kujipatia kipato lakini amwelewi mnaawaathiri kivipi vijana wa tanzania mnachofanya mjue watoto wenu watafanywa hivyo hivyo kama wanavyopotea watoto wa wenzenu..tunajua mnaitaj kujaza yale magorofa lakin embu muwe na uwoga wa Mungu jamani imefika wakati muwe makini na mnachofanya
Kinachofanyika ni watu kupindisha kusudi lamungu kama ni hivyo lazima mjiulize kwa nini tumeacha kupika bangi na kupika mchicha /kisamvu hii ni kusudi la mungu litimilike leo hiina tangaza kuacha kula ganja in jesus name na wewe unaeuza adhabu ya uwatesao ikafwate kizazi chakao mpaka kitakapomalizika