Unaamini kila kitu kimeumbwa na mungu;jani limeumbwa na mungu;kwa nini bangi mbaya???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Nduugu wapendwa kwanza na wapa pole wale walioathirika na hili jani leo hii naweza sema kwa bara mna afadhali..serikali ya zanzibar imeshindwa kabisa kukontrol swala la unga na kufanya vijana karibia asilimia 50 wakiishia kula unga kwa mizgo inayoletwa na wale waitaliano wakishirikiana na viongozi wa serikaliin

Najua si kosa lenu lakini imefika wakati wa kusema saaasa jani/madawa basi..ni kweli mmekuwa mkijinadi limeumbwa na mUNGU kweli lakini mjue kila kitu kina kusudio lake na ndio maana leo wengine wako segerea ili kusudi la Mungu litimie na hili n kwa kushindwa kufanya kusudio lilotakiwa...

Kuna wengi wamekuwa wakiteseka kutokana na kushindwa kuelewa kusudi la Mungu..Lazima muwe makini hasa nyie viongozi ambao weni mmedai mnafanya biashara kujipatia kipato lakini amwelewi mnaawaathiri kivipi vijana wa tanzania mnachofanya mjue watoto wenu watafanywa hivyo hivyo kama wanavyopotea watoto wa wenzenu..tunajua mnaitaj kujaza yale magorofa lakin embu muwe na uwoga wa Mungu jamani imefika wakati muwe makini na mnachofanya


Kinachofanyika ni watu kupindisha kusudi lamungu kama ni hivyo lazima mjiulize kwa nini tumeacha kupika bangi na kupika mchicha /kisamvu hii ni kusudi la mungu litimilike leo hiina tangaza kuacha kula ganja in jesus name na wewe unaeuza adhabu ya uwatesao ikafwate kizazi chakao mpaka kitakapomalizika
 
:embarassed2:

Hao wanao-justify kwa kutumia neno ni jani limeumbwa na Mungu huwa napenda kuwashauri watafune Uranium maana na yenyewe imeumbwa na Mungu..........Short-minded fellas
 
Haaahaaa afadhalai umewahi mpwa maana nilitaka kuwaambia wale ma**** yaliokauka nayo si wproduct imetengenezwa na binadamu kila kibaya wanamsemea mungu...yaani ndugu nimetoka zanziba ni aibu wale viongozi wanawaua wale vijana nna maotel yao huku waitaliano wakiuza nje nje
 
:embarassed2:

Hao wanao-justify kwa kutumia neno ni jani limeumbwa na Mungu huwa napenda kuwashauri watafune Uranium maana na yenyewe imeumbwa na Mungu..........Short-minded fellas

Great mind at work.
 
Nduugu wapendwa kwanza na wapa pole wale walioathirika na hili jani leo hii naweza sema kwa bara mna afadhali..serikali ya zanzibar imeshindwa kabisa kukontrol swala la unga na kufanya vijana karibia asilimia 50 wakiishia kula unga kwa mizgo inayoletwa na wale waitaliano wakishirikiana na viongozi wa serikaliin

Najua si kosa lenu lakini imefika wakati wa kusema saaasa jani/madawa basi..ni kweli mmekuwa mkijinadi limeumbwa na mUNGU kweli lakini mjue kila kitu kina kusudio lake na ndio maana leo wengine wako segerea ili kusudi la Mungu litimie na hili n kwa kushindwa kufanya kusudio lilotakiwa...

Kuna wengi wamekuwa wakiteseka kutokana na kushindwa kuelewa kusudi la Mungu..Lazima muwe makini hasa nyie viongozi ambao weni mmedai mnafanya biashara kujipatia kipato lakini amwelewi mnaawaathiri kivipi vijana wa tanzania mnachofanya mjue watoto wenu watafanywa hivyo hivyo kama wanavyopotea watoto wa wenzenu..tunajua mnaitaj kujaza yale magorofa lakin embu muwe na uwoga wa Mungu jamani imefika wakati muwe makini na mnachofanya


Kinachofanyika ni watu kupindisha kusudi lamungu kama ni hivyo lazima mjiulize kwa nini tumeacha kupika bangi na kupika mchicha /kisamvu hii ni kusudi la mungu litimilike leo hiina tangaza kuacha kula ganja in jesus name na wewe unaeuza adhabu ya uwatesao ikafwate kizazi chakao mpaka kitakapomalizika

Je na kwa wale wanaokula kama mboga tuwasaidiaje Pdidy?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom