Grena
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 657
- 1,542
- Thread starter
- #81
Mkuu mbona wanalipwa kila siku. Wanalipuliwaga huko, unakufa hakuna wakukuzika kukupa heshima yako ya mwisho. Unaachwa tu chakula Cha ndege na fisi wakudonoe hadi uishe.Nimejiuliza alshabab ,boko haramu n.k na hao watalipwa na nani maana kila siku wanawatendea watu mabaya