Wameru ni wakimbizi wa Kichaga

Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...

Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...

Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...

Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Tofauti za matabaka ya wachagga na tofauti za wahutu na watutsi ni vitu viwili tofauti sana. Rudi kwenye historia zao.
 
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.

Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.

Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?

HISTORIA YENYEWE

Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.


Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.

Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.

Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru waulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Kwa hiyo Mimi nimeoa mchawi....Astsghafululai !
 
Lakini kama wameru ni wabinafsi basi ni kweli ni limbuko la wachaga kwa sababu hakuna mtu mbinafsi Tanzania kama mchaga. Especially Marangu uwiiiiii tena ukutane na ukoo unaitwa Minja ndio balaa sana
Mpare anaongoza,ubahili mchaga kasingiziwa
 
Watutsi na Wahutu inaweza kuwa mfano mzuri wa Wamaasai(Irmaasai) wa Ngorongoro, Longido na Simanjiro VS Waarusha(Ilarusa) wa Arusha, Arumeru na Monduli. Monduli imechanganya pakubwa ila watu wenye asili ya Arusha na Arumeru ni wengi zaidi.
 
Kwa wasomi wazuri wa makala za wakoloni na waandishi waliofanya tafiti kaskazini mwa Tanzania wanajua kuwa wameru wametokana na makabila matatu ambayo ni wachaga (asilimia kubwa ya wameru), wamasai (baadhi ya koo) na wapare (kwa koo mbili kubwa),Waandishi wa late 1890 na early 1900s walidhani wameru ni ndugu na wasonjo, but linguistic evidence na baadhi tamaduni zinawahusisha na makabila matatu tajwa
 
Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...

Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...

Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...

Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Lugha zao tofauti mtu wa tarakea asikilizan kabisa na Mtu wa marangu, na mtu wa marangu asikilizan kabisa na Mtu wa uru
 
Mospoota
Maspoota
Mosiboota
Masboota

Zote salaam za Kihaya maana moja
Matamshi tofauti
Wachaga Wana lugha tofauti kabisa kutokana na maeneo Yao hawaendani katika kabila la kihuni wachaga wapo kabila moja haliwez kuwa na lugha zinatofauti vile
 
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.

Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.

Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?

HISTORIA YENYEWE

Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.


Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.

Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.

Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru waulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Wachaga hawasikilizan acha uongo mkibosho kamwe hawez muelewa muold Moshi, au mrombo wa tarakea, acha upotoshaji kaka
 
Wamashami mmbatana kasi ya hoteli fo...

Kwi kulemenlolya mmashami akumba subu neekumba wari efo murin?

Kazi eto gheiya Wakibosho ...

Eli nkindo mmiku akwa aleshiwia kyeri Alesha nla kindo shiketana kumi murin .

😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom