BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,277
- 3,328
VARWA ( Waliopanda) ndiyo sahihi.Mkuu upo sawa, lakini hapo varwa nafikiri sahihi ni WARWA wengi, NRWA mmoja.
VARWA ( Waliopanda) ndiyo sahihi.Mkuu upo sawa, lakini hapo varwa nafikiri sahihi ni WARWA wengi, NRWA mmoja.
VARWA ( Waliopanda) ndiyo sahihi.
Lakini kama wameru ni wabinafsi basi ni kweli ni limbuko la wachaga kwa sababu hakuna mtu mbinafsi Tanzania kama mchaga. Especially Marangu uwiiiiii tena ukutane na ukoo unaitwa Minja ndio balaa sanaMkuu asante kwa kujazia hii. Nimeipenda
Tofauti za matabaka ya wachagga na tofauti za wahutu na watutsi ni vitu viwili tofauti sana. Rudi kwenye historia zao.Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...
Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...
Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...
Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Kwa hiyo Mimi nimeoa mchawi....Astsghafululai !Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.
Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.
Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?
HISTORIA YENYEWE
Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.
Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.
Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.
Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru waulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Mpare anaongoza,ubahili mchaga kasingiziwaLakini kama wameru ni wabinafsi basi ni kweli ni limbuko la wachaga kwa sababu hakuna mtu mbinafsi Tanzania kama mchaga. Especially Marangu uwiiiiii tena ukutane na ukoo unaitwa Minja ndio balaa sana
Pisi Kali Ila ukioa ujiandae ndugu zako hawatakanyaga kwako Ila wao wanajazana kama kituo Cha kulelea wazee wasiojiweza.Wazee wa nare nare, kwantwate daaah sema pisi za kimeru Kali sana
Lugha zao tofauti mtu wa tarakea asikilizan kabisa na Mtu wa marangu, na mtu wa marangu asikilizan kabisa na Mtu wa uruNyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...
Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...
Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...
Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Wachaga Wana lugha tofauti kabisa kutokana na maeneo Yao hawaendani katika kabila la kihuni wachaga wapo kabila moja haliwez kuwa na lugha zinatofauti vileMospoota
Maspoota
Mosiboota
Masboota
Zote salaam za Kihaya maana moja
Matamshi tofauti
Wachaga hawasikilizan acha uongo mkibosho kamwe hawez muelewa muold Moshi, au mrombo wa tarakea, acha upotoshaji kakaKatika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.
Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.
Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?
HISTORIA YENYEWE
Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.
Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.
Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.
Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru waulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Wamashami Waamba Leh Kulesare Foo!!Wamashami mmbatana kasi ya hoteli fo...
Kwi kulemenlolya mmashami akumba subu neekumba wari efo murin?
Kazi eto gheiya Wakibosho ...
Eli nkindo mmiku akwa aleshiwia kyeri Alesha nla kindo shiketana kumi murin .
Niko kwa wameru na nawafahamu. Wameru hawana utamaduni wa kukaa ushemejini. Hata kaka au dada akioa au kuolewa huwa ngumu sana kwenda kukaa kwa dada au kaka. Hizo ni mila za watu wenginePisi Kali Ila ukioa ujiandae ndugu zako hawatakanyaga kwako Ila wao wanajazana kama kituo Cha kulelea wazee wasiojiweza.