std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,716
- 2,620
Wameru lugha yao ni kama kisiha na kimachame, utamaduni wao ni mchanganyiko wa kimasai na kichaga, mf; jando kama wamasai, ngoma kama wamasai, mahari kama wachaga urithi kama wachaga na mwanamke akijifungua lazima achinjiwe mbuzi au kondoo. Vyakula loshoro, ndizi, mtori, ngararum au ngararim za naasha.