koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,790
- 10,374
Wasibamu otaMospoota
Maspoota
Mosiboota
Masboota
Zote salaam za Kihaya maana moja
Matamshi tofauti
Wasibamu ote
yote maana ni moja ila lafudhi na matamshi tofauti
Wasibamu otaMospoota
Maspoota
Mosiboota
Masboota
Zote salaam za Kihaya maana moja
Matamshi tofauti
So Wahaya ni kama Wachagga tuu.Wasibamu ota
Wasibamu ote
yote maana ni moja ila lafudhi na matamshi tofauti
Ni mule mule yaaniSo Wahaya ni kama Wachagga tuu.
Karibu ungepatia lakini umebuma kidogo,,Wameru ni sawa walitokana na Wamachame ila ni watu waliokuwa "Displaced" kipindi cha mapigano kati ya Wamachame na Wakibosho (Mashami na Kioso) kama walivyo Wagweno(mapigano kati ya Marangu na Kibosho au Rombo)Ndo ivyo angalau umepata mwanga leo
Wahaya ndo hawataki kuitwa Wanyambo kabisa,ukitaka Mhaya akuchukie wewe muite Mnyambo.But Mnyambo akaitwa Mhaya hana noma sijui ni nini?But makabila mengi ukisema unatoka kagera wanajua wote wahaya kumbe ndani kuna moto unafukuta miaka mingi Wanyambo si Wahaya si WanyamboNa wahaya wana matabaka mengi mhaya wa Muleba lafudhi ya kihaya chake ni tofauti mhaya wa Misenyi
Kabisa mkuu na wanadharauliana mnoWahaya ndo hawataki kuitwa Wanyambo kabisa,ukitaka Mhaya akuchukie wewe muite Mnyambo.But Mnyambo akaitwa Mhaya hana noma sijui ni nini?But makabila mengi ukisema unatoka kagera wanajua wote wahaya kumbe ndani kuna moto unafukuta miaka mingi Wanyambo si Wahaya si Wanyambo
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Asiye na historia ni mtumwa na mpumbavu. Wahutu na watusi wote ni waafrika ila asili yao siyo moja watutsi wametokea pembe ya afrika na waliwakuta wahutu na wabatwa. Sawa na wamarekani wazungu na weusi wote wanaongea lugha moja ila weusi walikuja marekani na kuwakuta weupe na wahindi wekundu. Na wazungu walikuja toka ulaya, hiyo ndiyo historia, a nation without knowledge of the past is a like a tree without rootsNyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...
Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...
Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...
Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Unashangaa nini wkt makabila yanapakana!!! Wilaya ya Hai na Meru zinapakana!!! Pua na mdomo lazima wafananeHata mimi nilikuwa nashangaa
kwani umeambiwa kuwa natokea Hai mkuu?nilimuona mmchame na mmeru wakiongea nikashangaa. Kwa kupitia uzi huu ndo naanza kuelewa.Unashangaa nini wkt makabila yanapakana!!! Wilaya ya Hai na Meru zinapakana!!! Pua na mdomo lazima wafanane
Asante kwa mjazio👏👏Karibu ungepatia lakini umebuma kidogo,,Wameru ni sawa walitokana na Wamachame ila ni watu waliokuwa "Displaced" kipindi cha mapigano kati ya Wamachame na Wakibosho (Mashami na Kioso) kama walivyo Wagweno(mapigano kati ya Marangu na Kibosho au Rombo)
Hata uchagani ipo hiyo. Wauru hasa wanaotoka Kishumundu wanaonekana duni sana. Ndio maana ukimkuta mchaga yeyote akimwita mkishumundu hata kama ni kweli atakataa kabisa. Ntaielezea kwa kirefu siku zijazoWahaya ndo hawataki kuitwa Wanyambo kabisa,ukitaka Mhaya akuchukie wewe muite Mnyambo.But Mnyambo akaitwa Mhaya hana noma sijui ni nini?But makabila mengi ukisema unatoka kagera wanajua wote wahaya kumbe ndani kuna moto unafukuta miaka mingi Wanyambo si Wahaya si Wanyambo
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
kiukweli waafrika hatujui historia zetuAsiye na historia ni mtumwa na mpumbavu. Wahutu na watusi wote ni waafrika ila asili yao siyo moja watutsi wametokea pembe ya afrika na waliwakuta wahutu na wabatwa. Sawa na wamarekani wazungu na weusi wote wanaongea lugha moja ila weusi walikuja marekani na kuwakuta weupe na wahindi wekundu. Na wazungu walikuja toka ulaya, hiyo ndiyo historia, a nation without knowledge of the past is a like a tree without roots