Wameru ni wakimbizi wa Kichaga

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,491
3,997
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.

Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.

Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?

HISTORIA YENYEWE

Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.

IMG_20201203_115333.jpg

Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.

Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.

Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru waulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
 
Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...

Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...

Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...

Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
 
Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...

Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...

Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...

Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Rudia tena sijakuelewa
 
Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...

Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...

Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...

Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Kama sisiem na upinzani
 
Nyie sasa story zenu ni kama za wahutu na Watusi... Wote wanaongea lugha moja kisa muonekano, kisa elimu ndio wakaanza kukanyagana...

Nisawa na haya yanayo endelea ya wachaga wa rombo, wasiha, kibosho, marangu, machame nk...

Zile jamii za watusi, wahutu, ambazo zina patikana Rwanda na Burundi na lugha ni zile zile Leo hawataki kuonekana ni wamoja kisa ni upumbavu wao wa kimatabaka...

Wachaga na wenyewe wanaenda humo humo
Hapo unalalamika au unawasilisha ?
 
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.

Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.

Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?

HISTORIA YENYEWE

Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.


Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.

Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.

Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru aulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Ngoja nimuulizee jasusi Mbowe.
 
Na wahaya wana matabaka mengi mhaya wa Muleba lafudhi ya kihaya chake ni tofauti mhaya wa Misenyi
 
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.

Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.

Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea lafudhi ya kufanana kabisa na Kichaga cha Machame?

HISTORIA YENYEWE

Wameru ni Wachagga wa Machame lakini walikuwa wachawi sana hapo zamani. Kipindi cha utawala wa Mangi ikafanyika opereseheni ya kuondoa na kuuwa wachawi wote. Ili kusafisha jamii dhidi ya ushirikina ile operation ilia wachawi wengi baadhi yao wakakimbilia milima ya Meru kutafuta makaazi huko.


Baada kukaa huko na kuongezeka na kuwa wengi na kwa sababu walikua kando kando ya mlima Meru wakaanza kujulikana kama Wameru.

Hadi leo ni kabila linalojulikana Tanzania kama Wameru. Ongea yao lafudhi yao maneno mengi, baadhi ya tamaduni zao haitofautiani na Kichaga.

Mwenye kutaka kujua zaidi afuatilie kuuliza,ila asiwaulize Wameru aulie wazee wa Kichaga. Ruksa kujazia.
Wazee wa nare nare, kwantwate daaah sema pisi za kimeru Kali sana
 
Back
Top Bottom