jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
[h=2][/h]
Katika hao 10 waliongara zaidi, mtiririko kulingana na wingi wa kura unagawanywa kama
Kwa muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania.
Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete anashika nafasi ya kwanza.
Kwa nafasi yake kama mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama, Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri na Mwenyekiti wa Chama Tawala CCM, ndiye aliyeongoza kwa kupata kura nyingi kwamba ana ushawishi mkubwa katika makundi yote. Watu 118,456 ambao ni sawa na asilimia 27 walimchagua.
Katika hao 10 waliongara zaidi, mtiririko kulingana na wingi wa kura unagawanywa kama
Kwa muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania.
Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete anashika nafasi ya kwanza.
Kwa nafasi yake kama mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama, Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri na Mwenyekiti wa Chama Tawala CCM, ndiye aliyeongoza kwa kupata kura nyingi kwamba ana ushawishi mkubwa katika makundi yote. Watu 118,456 ambao ni sawa na asilimia 27 walimchagua.