Mimi nimeagiza kuku mzima nataka nimpate nafirigisi zake! Kama ni utamaduni Seniorita niamnie lakini isiwe tu ni Tania wauzaji wanatuibiaDuh inaelekea una usongo sana na firigisi mpaka umeileta hapa kujadilwa? Ndio maana hatuendelei...priorities!!!! Ndugu kuna supermarkets unaweza kupata firigisi zinauzwa separately...nunua nyingi, ule hadi hamu ikutoke na kisha tuendelee kujenga taifa
Dai na kichwa, miguu, utumbo, na manyoya!
Firigisi siyo sehemu ya kuku. Period!