Una uhakika wa asilimia ngapi kuwa huyo anayekuita baba ni mwanao wa kumzaa?

halafu kwa nini comment nyingi za wanawake zinakazania kwenye kulea na kuhudumia na kutaka kuachana na mambo ya kuulizia kama damu yako ama

kwan kuna ubaya mtu kutaka kujua kama ni mali yako au imepigwa ,kwan ni dhambi kuulizia

Ushauri wangu tu wa bure kwa wadada kama ulimdanganya jamaa kuwa ni mtoto wake kumbe sio wake basi hiyo siri baki nayo mwenyewe hadi unaingia kaburin jamaa aendelee kujua hivyo hivyo kuwa ni mtoto wake yaan hata mwanao usithubutu kumwambia kuwa huyo jamaa sio baba yake.Lakini pia baba halali mwenye damu yake kama hajui ni mtoto wake hapo fresh maana atasumbua sana kama anataka mtoto.

Hapa tuachane na yale makabila ambayo yenyewe hayajali kama ni mtoto wake au vipi ili mradi mkewe amezaa basi yeye anamchukia kama mwanaye tu hayo makabila kwenye hili hakuna shida we jiachie tu kwa raha zako.
 
wanachukulia simple kwa vile hayajawakuta hawa mimi nakwambia jamaa yangu kawa chizi nusu miaka yote anajua mwanaye mtoto mkubwa kabisa ndo anakuja kujua kuwa sio wake weee acha kabisa jamaa anacholaumu kwa nn mwanamke wake hakumwambia mapema??
Mambo haya mtu hawezi kukuelewa mpaka yamkute
 
Jiulize kwenye ukoo wenu wote mnafanana sura??? Muunganiko wa sura mbili tofauti unaweza kutoa sura nyingine tofauti

Tunaweza kuridhi tabia au maumbile kutoka kwa wazazi wetu hadi kizazi Cha sita nyuma
 
Jiulize kwenye ukoo wenu wote mnafanana sura??? Muunganiko wa sura mbili tofauti unaweza kutoa sura nyingine tofauti

Tunaweza kuridhi tabia au maumbile kutoka kwa wazazi wetu hadi kizazi Cha sita nyuma
ukoo wote hamuwezi fanana aisee wachina tu ndo wanaweza hii kitu
 
lakini aliyekuwa anakulea si alikuwa anajua anamlea nani??
Pamoja na kuwa nilikuwa na wazazi lakini malezi yangu yamepita kwenye mikono ya watu wengi.....
Uzungu mwingi mwishowe mnaharibu laana na mikosi zinawarudia. Lea watoto wote kwa haki.
 
Hi everyone,

Wababa wengi hulea watoto ambao sio damu yao, kuna kamsemo kuwa kitanda hakizai haramu lakini pia anayejua baba wa mtoto ni mama.

Tukiachana na mambo ya DNA ambayo ni mchakato na gharama, baba kama baba hutumia vigezo gani kujua kuwa unayelea ni damu yako halali maana kwenye hili swala wanawake wanatupigaga sana, unajua damu yako kumbe dah sio kabisa.

Una uhakika huyo anayekuita baba ni mwanao kweli na kama ni kweli huo ukweli ulionao una asilimia ngapi?
Baba ni mlezi na siyo mzazi, kwani mzazi kisheria na kibiolojia ni mama, Sasa mwanaume unamzaa nani?
 
Pamoja na kuwa nilikuwa na wazazi lakini malezi yangu yamepita kwenye mikono ya watu wengi.....
Uzungu mwingi mwishowe mnaharibu laana na mikosi zinawarudia. Lea watoto wote kwa haki.
hilo halipingiki mzee kila mtu kasaidiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom