Hapo sawa mtaalam.Akikuita ni baba inatosha, lea usikimbie majukumu.
shida sio kujua shida ni kwa nini udanganye??watu wanaadopt watoto na wanalea bila shida tena kama mtoto wake.Aliyezaliwa au kuletwa toka njee na unamkuza ndani chini ya dari au nyumba yako mpende na muhudumie, hata kama sio damu yako.
Mambo ya DNA sijui damu yangu ni ushamba.
Mbona mnaleta watoto wa njee na sisi tunawalea bila ubaguzi?
Wanaozaa haramu ni parents unexpected pregnancyKitanda hakizai haramu, jikaze mkuu
Wanakubambikia mkuu ili mtoto asikose matunzoKupima DNA SI laki tano TU jichange ukahakikishe
tafuta ada kamlipie huyo mtoto, tarehe 16 shule zinafunguliwa. acha visingizio. ebooHi everyone,
Wababa wengi hulea watoto ambao sio damu yao, kuna kamsemo kuwa kitanda hakizai haramu lakini pia anayejua baba wa mtoto ni mama.
Tukiachana na mambo ya DNA ambayo ni mchakato na gharama, baba kama baba hutumia vigezo gani kujua kuwa unayelea ni damu yako halali maana kwenye hili swala wanawake wanatupigaga sana, unajua damu yako kumbe dah sio kabisa.
Una uhakika huyo anayekuita baba ni mwanao kweli na kama ni kweli huo ukweli ulionao una asilimia ngapi?
What if ukihangaika kupima DNA na ukakuta wa kwakoshida sio kujua shida ni kwa nini udanganye??watu wanaadopt watoto na wanalea bila shida tena kama mtoto wake.
umeshasema wa nje hapo hujafichwa kitu unajua kabisa kuwa ni nje
wanachukulia simple kwa vile hayajawakuta hawa mimi nakwambia jamaa yangu kawa chizi nusu miaka yote anajua mwanaye mtoto mkubwa kabisa ndo anakuja kujua kuwa sio wake weee acha kabisa jamaa anacholaumu kwa nn mwanamke wake hakumwambia mapema??Jamani saaa hata pua hamafanani yako kubwa ya mtoto ina ndogo na imepinda, mikono pia, masikio ndiyo usiseme yako makubwa yake marefu halafu bado usijue kuwa umepigwa, kulea mtoto wa mtu sio kazi ndogo labda asikufiche muweke sawa mapema ila ya kustukizana mtoto amekua ni hatari kwa afya
Hamna uongo namwambia ukweli daily baba yako alikushuku mpaka DNA ilipoproove.kwa hiyo unamjaza au sio
unajua ishu inakuwa wapi kama tunavyojua kuwa kitu chochote kama haujui wala hainaga shida kabisa mtoto utalea vzr tu bila shida kabisa.Hamna uongo namwambia ukweli daily baba yako alikushuku mpaka DNA ilipoproove.
Je hapo nimemwambia uongo?
unajua ishu inakuwa wapi kama tunavyojua kuwa kitu chochote kama haujui wala hainaga shida kabisa mtoto utalea vzr tu bila shida kabisa.
Ishu inakuja na balaa linakuja baadaye pale unapojua kuwa sio wako sijui umeipata point yangu