Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,032
Mtakuja kusema, tufuge na koboko ili kupambana na wezi pamoja na majambazi..
Acha fikra potofu mkuuSio bure kuna kalaana kanatunyemelea! Mada za nyoka zinaongezeka sana, mmoja alikuja na kilimo cha nyoka na wewe unakuja na kuzuia panya kwa kutumia nyoka bila kutuambia paka wameenda wapi. Kwa mujibu wa kitabu kitakatifu, nyoka ni adui wa binadamu, wewe unaleta ushosti na nyoka.
Haa sawa ushauri wako nauchukua ila hii bandiko ni kuangalia muitikio ya watu upo vipiundefine nakushauri anzisha biashara ya kuuza nyoka alafu ndiyo uje na hili bandiko kutushawishi tutakuunga mkono kwa vitendo
nyoka ukisha mleta kwako, kwako ndio panakuwa kwake. Naye ataenda kumleta demu wake.Watazaana hadi ukoje.Nb:Hii ni njia rahisi kutokomeza panya fanya experiment kama nyumba yako ina panya wengi chukua nyoka wa aina hii muweke wiki tu hakika panya wote watakimbilia nyumba ya jirani na baada ya hapo mrudishe nyoka kwake .[/IMG]
[
Ndugu yangu alimezwa Na chatu Ifakara, au chatu sio nyoka?Nyoka hana uwezo wa kumla binaadamu