Ukifuga nyoka unaambiwa mchawi na mtu wa kafaraAchana na hao wazungu Tupe picha ya nyoka unayemfuga kwako mkuu
SanaSaana! Nyoka ni kiumbe hatari
Ukifuga nyoka unaambiwa mchawi na mtu wa kafara
You made my day. Hasira yote ya mchanga wa dhahabu imekwisha kwa leo.Siwezi kuthubutu...!!
Bora niendelee kuishi tu na panya.
Elimu ila unesahau kwamba jamii nyingi za Kitanzania (vijijini na mijini) hufuga kuku, hakika vifaranga havitasalimika...
Baadhi ya nyumba waliofuga nyoka hao.Watoto pia hupata nafasi ya kucheza na kufurahi na nyoka hao