Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,072
- 2,307
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinachojieleza huu Uzi maalum kwa wale wote wenye maswali kuhusu jinsi ya kumiliki website au app kwa ajiri ya biashara yako
Vitu unavyopaswa kuvifahamu kabla hujaamua kumtafuta IT kwa ajiri ya ku "develop" website/app ya biashara yako
Pia ni vizuri ukafaham technologies zinazotumika Ku develop hizi apps au websites na zipi ni nzuri zaidi kulingana na wazo au biashara yako
Pia kama tayari una miliki online business (website au app) na unahitaji ushauri Wa kitaalam jinsi gani unaweza Ku "scale" app au websites yako iwafikie watu wengi zaidi
Na kama una wazo lolote la online business na Wenda hujui jinsi ya kuliweka sawa sawa hapa ni pahala pake
Mi web & app developer so nitajitahidi kujibu swali lako kadri nitakavyoweza
JINSI YA KUTENGENEZA BIASHARA YAKO MTANDAONI(ONLINE BUSINESS)
1.Kutambua tatizo
Hii ni hatua ya kwanza na ya muhimu katika safari yako ya kuanzisha biashara ya mtandaoni(online business),
Biashara zote za mtandaoni zilizofanikiwa na zitakazo kuja kufanikiwa huwa zina sifa moja kubwa,
Kutatua tatizo....
Fikiria ni kwa kiasi gani upatikanaji wa video ulikua ni changamoto kabla ya YouTube?
Au upatikanaji wa taarifa kwenye internet kabla ya Google?
Au mawasiliano ya haraka na salama yalivyokua changamoto kabla ya WhatsApp, Signal au Telegram?
Jinsi gani ilikua ngumu Ku interact na marafiki kabla ya Facebook?
Kujua watu mashuhuri wamesema nini kabla ya Twitter?
Mitandao yote hii imefanikiwa baada ya kutatua tatizo Fulani
Ni Aidha unatatua tatizo kwa kuja na jawabu jipya,au una boresha jawabu lililopo
Kama alivyosema CEO wa zamani na mwanzilishi wa Alibaba Group,Bilionea Jack Ma kuwa njia rahisi ya kugundua tatizo ni kuangalia sehemu zipi zina malalamiko mengi?
Mfano,Vijana wengi wanalia na ukosefu wa ajira?,una jawabu lipi Ambalo una amini litatatua au kupunguza ili tatizo?
2.Utekelezaji(implementation)
Baada ya kupata jawabu lako,sasa ni mda sahihi wa kulitekeleza....(itaendelea)
Karibuni
0748333586
Kama kichwa cha habari kinachojieleza huu Uzi maalum kwa wale wote wenye maswali kuhusu jinsi ya kumiliki website au app kwa ajiri ya biashara yako
Vitu unavyopaswa kuvifahamu kabla hujaamua kumtafuta IT kwa ajiri ya ku "develop" website/app ya biashara yako
Pia ni vizuri ukafaham technologies zinazotumika Ku develop hizi apps au websites na zipi ni nzuri zaidi kulingana na wazo au biashara yako
Pia kama tayari una miliki online business (website au app) na unahitaji ushauri Wa kitaalam jinsi gani unaweza Ku "scale" app au websites yako iwafikie watu wengi zaidi
Na kama una wazo lolote la online business na Wenda hujui jinsi ya kuliweka sawa sawa hapa ni pahala pake
Mi web & app developer so nitajitahidi kujibu swali lako kadri nitakavyoweza
JINSI YA KUTENGENEZA BIASHARA YAKO MTANDAONI(ONLINE BUSINESS)
1.Kutambua tatizo
Hii ni hatua ya kwanza na ya muhimu katika safari yako ya kuanzisha biashara ya mtandaoni(online business),
Biashara zote za mtandaoni zilizofanikiwa na zitakazo kuja kufanikiwa huwa zina sifa moja kubwa,
Kutatua tatizo....
Fikiria ni kwa kiasi gani upatikanaji wa video ulikua ni changamoto kabla ya YouTube?
Au upatikanaji wa taarifa kwenye internet kabla ya Google?
Au mawasiliano ya haraka na salama yalivyokua changamoto kabla ya WhatsApp, Signal au Telegram?
Jinsi gani ilikua ngumu Ku interact na marafiki kabla ya Facebook?
Kujua watu mashuhuri wamesema nini kabla ya Twitter?
Mitandao yote hii imefanikiwa baada ya kutatua tatizo Fulani
Ni Aidha unatatua tatizo kwa kuja na jawabu jipya,au una boresha jawabu lililopo
Kama alivyosema CEO wa zamani na mwanzilishi wa Alibaba Group,Bilionea Jack Ma kuwa njia rahisi ya kugundua tatizo ni kuangalia sehemu zipi zina malalamiko mengi?
Mfano,Vijana wengi wanalia na ukosefu wa ajira?,una jawabu lipi Ambalo una amini litatatua au kupunguza ili tatizo?
2.Utekelezaji(implementation)
Baada ya kupata jawabu lako,sasa ni mda sahihi wa kulitekeleza....(itaendelea)
Karibuni
0748333586