Mshana Jr , Chondechonde mpe taadhari huyu tapeli kula pesa za wanaume kiboya namna hiyo kuna siku yake, watu hawaogopi hayo mavibuyu yake, wanakamata na kufir.a kama kaiwaida, na alivyo mweupe kiuno cha nyigu, hahahahaKaka itakuwa wapi hii naomba mwaliko tafadhali niweze kushiriki kikamilifu tukijaaliwa
Bila shaka yaonesha wewe ni mzoefu wa kufirwaga!!Mshana Jr , Chondechonde mpe taadhari huyu tapeli kula pesa za wanaume kiboya namna hiyo kuna siku yake, watu hawaogopi hayo mavibuyu yake, wanakamata na kufir.a kama kaiwaida, na alivyo mweupe kiuno cha nyigu, hahahaha
yah hiyo dawa ya kuzuia risasi isikuzuru hata mm ninayo si risasi tu bali hata ,panga,mkuki mshale kisu na chochote hakiwez kukudhuru tena baada ya kukuchanja nakufanyia majaribiounaweza nifanyia uganga risasi isinidhuru?
usitake kuniambia kukopera sio uchawi wa faidaKuhusu mazingaombwe nimetolea mfano ila nadhani wataka kujua zaidi kuhusu kuiba bank, ni kwamba wizi upo na sehemu nyingi zinazindikwa bila nyinyi kujua, na pia lengo na misingi ya uchawi sio kipato bali ni madhara tu kwa watu na kujifurahisha kwa taratibu nyingine kama vile kula nyama za watu nk