Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

Status
Not open for further replies.
Kuna mfanyakazi mwenzangu jana nilim'bamba akimwaga dawa nyeusi katika kiti ninachotumia mimi.....hakuwa na maelezo ya kutosha zaidi ya kuniomba nisiwaeleze wakuu.
Wewe Jamaa unakutana na mauzauza kila siku.. AU wewe ndo tishio kwao?
 
Sawa hapo nimeelewa mkulu lakini naswali nauliza nimekuwa naota mara kwa mara bado nipo maeneo ya nyumbani na kuwaona sana wazaz wangu hasa mama wakat saiv npo mbal na
wao maana yake ni ipi
 
Kuna mfanyakazi mwenzangu jana nilim'bamba akimwaga dawa nyeusi katika kiti ninachotumia mimi.....hakuwa na maelezo ya kutosha zaidi ya kuniomba nisiwaeleze wakuu.
Husda hufanyika popote na ubaya hauna kwao.
 
Sawa hapo nimeelewa mkulu lakini naswali nauliza nimekuwa naota mara kwa mara bado nipo maeneo ya nyumbani na kuwaona sana wazaz wangu hasa mama wakat saiv npo mbal na
wao maana yake ni ipi
Kipo kitu cha ziada hapo.....nitafute pembeni tuulizane mawili matatu.
 
Hali inatisha!
1472246066909.jpg
 
Yapo sana maradhi ya kishirikina na haya huwa ni mabaya zaidi maana kule tunapotumaini hayaonekani kwenye vipimo hali ya kuwa mtu anaumwa sana! Unaweza kupitia tiba mbali mbali ukapata nafuu na baadae yakarudi tena, wengi hufanyiwa uchawi au hata kutupiwa majini.....Mtu mzito ataongezea nyama.
Sawa sawa Mkuu jichawi, mtoto wa dada yangu aliwahi kuugua maradhi ya ajabu sana na tukamaliza pesa nyingi sana, akipima mara unaonekana moyo mkubwa, mara siku nyingine huonekana una tundu, mara mirija imeachia, mara umejaa maji yaani mpaka wauguzi hawakujua cha kufanya......lakini kuna mmoja akatutonya kuwa hangaikeni, na kweli tukahangaika akaja akatolewa kucha kucha, sindano na vitu vingine chini ya ziwa la kushoto na hadi sasa ni mzima.
 
Mtu mzito naomba unifafanulie ndoto hii! Nimeota kuna radi kubwa inapiga na kusambaratisha kila kinachokutana nacho...na nikaona watu wanakimbia kutoka maeneo radi inapiga kuja tunapoishi sisi ambapo radi haijafika ila ndipo inapoelekea, na sisi tukawa tunapanga kukimbilia sehemu moja ambayo ni mlimani tukiamini tutakuwa salama! Tulikuwa tunapangakukimbia hapo nikiwa na rafiki yangu (japo katika mazingira halisi simtambui yaani sikumjua sura) Ufafanuzi kaka...
 
Mimi si mwenye kuota mara kwa mara na hata ninapoota sizikumbuki
, ndoto hiyo nimeota na ilivyokatika usingizi ukakata pia...ni saa 9 unusu usiku niliposhtuka na kuangalia saa!
 
Mtu mzito naomba unifafanulie ndoto hii! Nimeota kuna radi kubwa inapiga na kusambaratisha kila kinachokutana nacho...na nikaona watu wanakimbia kutoka maeneo radi inapiga kuja tunapoishi sisi ambapo radi haijafika ila ndipo inapoelekea, na sisi tukawa tunapanga kukimbilia sehemu moja ambayo ni mlimani tukiamini tutakuwa salama! Tulikuwa tunapangakukimbia hapo nikiwa na rafiki yangu (japo katika mazingira halisi simtambui yaani sikumjua sura) Ufafanuzi kaka...
Je, baada ya hapo mkakimbia ile sehemu mliyohisi ipo salama au iliishia pale pale kwanye kuwaza?
 
Yapo sana maradhi ya kishirikina na haya huwa ni mabaya zaidi maana kule tunapotumaini hayaonekani kwenye vipimo hali ya kuwa mtu anaumwa sana! Unaweza kupitia tiba mbali mbali ukapata nafuu na baadae yakarudi tena, wengi hufanyiwa uchawi au hata kutupiwa majini.....Mtu mzito ataongezea nyama.
Mkuu Jichawi umekwenda vema kabisa inajitosheleza kabisa.
 
Sawa sawa Mkuu jichawi, mtoto wa dada yangu aliwahi kuugua maradhi ya ajabu sana na tukamaliza pesa nyingi sana, akipima mara unaonekana moyo mkubwa, mara siku nyingine huonekana una tundu, mara mirija imeachia, mara umejaa maji yaani mpaka wauguzi hawakujua cha kufanya......lakini kuna mmoja akatutonya kuwa hangaikeni, na kweli tukahangaika akaja akatolewa kucha kucha, sindano na vitu vingine chini ya ziwa la kushoto na hadi sasa ni mzima.
Haya hung'amua wachache sana ila wengi hupotea.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom