Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 954
Leo nimeamua kutoa chance kwa wale wote wenye biashara ambao wanataka kujua nini wafanye ili kuongeza faida, kuanzisha uhusiano wa kibishara, kuongeza mchakato wa kimashindano, kufanya forecast. Any question concern your business?
Au kama unataka kuanzisha biashara what are Do's and don't?
Au kama unataka kuanzisha biashara what are Do's and don't?