Daniel Adrian
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 311
- 322
Habari za siku ya leo.
Leo nataka niwaambie jambo moja wanaume wenzangu. Hata hivyo mada ni huru na yeyote anaruhusiwa kuchangia.
"ukiona mwanamke amekukubali ujue yeye mwenyewe tu amekutamani (nashindwa kusema amekupenda kwa sababu upendo ni jambo zito kidogo lisilotokea immediately) na sio kwamba una swaga sana".
Kwanini nasema hivyo ?
Ushawahi kumtongoza mwanamke asie kutaka ?
Mimi nishawahi, nakwambia ni rahisi zaidi kwenda sayari ya Mars kuliko kutongoza mwanamke asiekutaka, "hataki kusikia wala kuelewa chochote". Kwahiyo tegemea kukatishwa katishwa na kupotezwa mada. Tena siku hizi wana mbinu mpya, atajifanya kummiss bwana ake atachukua simu atajichatisha vineno vya kimahaba halafu ataiweka vizuri na we ukichungulia uone. Atajifanya yuko busy na simu yake. Lengo hapa akuoneshe tu "sikutaki".
Sasa unakutana na mwanamke unamtongoza anakusikiliza, unamdanganya anasikiliza tu, unamwambia maneno ya chumbani anakuskiliza tu. Anasubiri uongee mpaka umalize. Halafu akija kukukubali unajisifu nna swagaa. Una swaga au naye alikutamani ?
Kwanza mimi sijawahi elewa maana ya neno swaga maana, mimi naweza mtongoza mwanamke kwa maneno yanayohesabika na akaelewa, "akakubali". Sasa hizo swaga tena saa ngapi ?
Sasa mi nataka kukwambia, sio swaga. Kilichofanya akubali ni hata yeye alishakutamani. Naweza kukuthibitishia kama kama hakutaki hizo swaga hazitofanya kazi.
Sijasema kwa nia mbaya. Nime-share uzoefu wangu tu kwa kaka na wadogo zangu wa kiume hapa JF
Halafu ladies,I am single man.(tangazo?, Hapana utani tu. Mmmhhh utani au kweli ?).
Kabla sijaweka nukta ya mwisho napenda kuwashukuru kwa kusoma hii post ila niwakumbushe kuwa "Leo bubu kasema". Mimi ni msomaji wa muda mrefu humu kwahiyo naishi kama bubu, sasa nikiamua kusema ujue nilichosema kina uzito, usipuuze.
Leo nataka niwaambie jambo moja wanaume wenzangu. Hata hivyo mada ni huru na yeyote anaruhusiwa kuchangia.
"ukiona mwanamke amekukubali ujue yeye mwenyewe tu amekutamani (nashindwa kusema amekupenda kwa sababu upendo ni jambo zito kidogo lisilotokea immediately) na sio kwamba una swaga sana".
Kwanini nasema hivyo ?
Ushawahi kumtongoza mwanamke asie kutaka ?
Mimi nishawahi, nakwambia ni rahisi zaidi kwenda sayari ya Mars kuliko kutongoza mwanamke asiekutaka, "hataki kusikia wala kuelewa chochote". Kwahiyo tegemea kukatishwa katishwa na kupotezwa mada. Tena siku hizi wana mbinu mpya, atajifanya kummiss bwana ake atachukua simu atajichatisha vineno vya kimahaba halafu ataiweka vizuri na we ukichungulia uone. Atajifanya yuko busy na simu yake. Lengo hapa akuoneshe tu "sikutaki".
Sasa unakutana na mwanamke unamtongoza anakusikiliza, unamdanganya anasikiliza tu, unamwambia maneno ya chumbani anakuskiliza tu. Anasubiri uongee mpaka umalize. Halafu akija kukukubali unajisifu nna swagaa. Una swaga au naye alikutamani ?
Kwanza mimi sijawahi elewa maana ya neno swaga maana, mimi naweza mtongoza mwanamke kwa maneno yanayohesabika na akaelewa, "akakubali". Sasa hizo swaga tena saa ngapi ?
Sasa mi nataka kukwambia, sio swaga. Kilichofanya akubali ni hata yeye alishakutamani. Naweza kukuthibitishia kama kama hakutaki hizo swaga hazitofanya kazi.
Sijasema kwa nia mbaya. Nime-share uzoefu wangu tu kwa kaka na wadogo zangu wa kiume hapa JF
Halafu ladies,I am single man.(tangazo?, Hapana utani tu. Mmmhhh utani au kweli ?).
Kabla sijaweka nukta ya mwisho napenda kuwashukuru kwa kusoma hii post ila niwakumbushe kuwa "Leo bubu kasema". Mimi ni msomaji wa muda mrefu humu kwahiyo naishi kama bubu, sasa nikiamua kusema ujue nilichosema kina uzito, usipuuze.