Yales
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 517
- 527
Wakuu kuna watu akili zao zinawatosha wenyewe tu, Yani kuna ndugu yangu hapa kapost picha yuko na madripu Hospital Facebook huku akiomba Aombewe huu ni ulimbukeni au? Kuna Wa mama wa makamo tu wanahangaika kweli na social network kutwa kuchwa kupost picha marq wako bar mara wako vyumbani kwao yani wana ji exposure too much,
Binafsi situmii jina lolote halisi mitandaoni wala sijawah kuweka picha zangu mitandaoni waziwazi
Najua ni maisha yao na wala hayanihusu ila tu Naruhusu POVU kwa wale wakomoromije na wenye haka kaulimbukeni
Binafsi situmii jina lolote halisi mitandaoni wala sijawah kuweka picha zangu mitandaoni waziwazi
Najua ni maisha yao na wala hayanihusu ila tu Naruhusu POVU kwa wale wakomoromije na wenye haka kaulimbukeni