Una post picha Una Dripu hospital mitandaoni?

Yales

JF-Expert Member
Oct 3, 2015
517
527
Wakuu kuna watu akili zao zinawatosha wenyewe tu, Yani kuna ndugu yangu hapa kapost picha yuko na madripu Hospital Facebook huku akiomba Aombewe huu ni ulimbukeni au? Kuna Wa mama wa makamo tu wanahangaika kweli na social network kutwa kuchwa kupost picha marq wako bar mara wako vyumbani kwao yani wana ji exposure too much,

Binafsi situmii jina lolote halisi mitandaoni wala sijawah kuweka picha zangu mitandaoni waziwazi

Najua ni maisha yao na wala hayanihusu ila tu Naruhusu POVU kwa wale wakomoromije na wenye haka kaulimbukeni
 
Ingawaje huwezi kumpangia Mtu yeyote namna ya kuishi ila hilo nalo ni moja ya matokeo hasi ya Mapokezi ya Utandawazi..,
 
sasa kama tumefikia huku hiyo ya drip mbona cha mtoto
2cce9cc5638c238d6fa3620dd1bf1760.jpg
 
Hao bana wanadhan mitandao ni kila kitu. Mie nshawafungulia thread maalumu kwa ajili yao. Kuna mmoja yupo msiban akaweka picha wamebeba jeneza akaandika yupo msiban anakula bata

Aisee facebook kuna vituko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom