Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Musa na Halima ni std 7 na ni wapenzi pia. Baba Halima hajasoma shule lkn alikuwa strictly kwa mwanae asome ili awa daktari,.walipofunga shule Musa alitaka kumuona KIPUSA wake(mtoto wa geti kali) hvyo akakaza roho akaenda kwa akina Halima,..MUSA:Hodiiiii. BA HALIMA:Karibu-akafungua mlango. MUSA:Shikamoo(mzee akaitikia). Ni...nilikuwa nomba kitabu kwa Halima pia anielekeze hesabu kabisa yeye anazijuwa mimi zanitatiza.(akaitwa halima na babake akaja). MUSA: Gmrng?,naomba kile kitabu cha YOU KNOW I CANT LIVE WITHOUT YOU HONEY na kile cha YOUR PAPAA DOESNT UNDERSTAND ENGLISH CAN WE SIT AND TALK kabisa pia unifundishe hizi hesabu?. HALIMA:Sawa nnacho pia kile cha HE WILL BE GOING OUT IN A MOMENT SO WE WILL BE FREE ntakupa hicho. BABA: hahahahahaaa mashaaaAllah watoto mwasoma kwa bidii kweli,vitabu vyote hvyo!. Masomo mema mi naenda mjin ntarudi baadae watoto wazuri.