comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
Mimi ndimi.
Aseee Mimi nikiona mtu, mwanamke au mwanaume kavaa miwani ile ndogo ya mtu mwenye matatizo ya macho halafu ndio awe mwembamba, naona kama ana udhaifu Fulani hivi, yani naona kama hana afya naweza hata nikamkata Kofi akaaga dunia aseee!
Wewe unamtazamo gani??
Wengine eti wakiona mtu kavaa MIWANI ya macho wanamuona kama ana akili sana au msomi.
Aseee Mimi nikiona mtu, mwanamke au mwanaume kavaa miwani ile ndogo ya mtu mwenye matatizo ya macho halafu ndio awe mwembamba, naona kama ana udhaifu Fulani hivi, yani naona kama hana afya naweza hata nikamkata Kofi akaaga dunia aseee!
Wewe unamtazamo gani??
Wengine eti wakiona mtu kavaa MIWANI ya macho wanamuona kama ana akili sana au msomi.