TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 216
Hello wadau! Ikiwa imebaki wiki moja tuumalize mwezi Januari, leo tujadiliane kitu kimoja. Kwa namna moja ama nyingine simu zetu za TECNO zimekuwa na watumiaji wengi sana Tanzania. Huku ikionesha kuwa asilimia kubwa ya watu walioanza kutumia smartphone kwa mara ya kwanza kulingana na tafiti zetu walianza na TECNO. Walioanza na TECNO bado wanaendelea nazo na wanaendelea kubadilisha kuendana na fasheni za matoleo mbalimbali.
Kwa upande wako TECNO imekusaidiaje kwenye uchumi na bajeti yako na wakati huohuo ukaingia katika ulimwengu wa mtandao?
Kwa upande wako TECNO imekusaidiaje kwenye uchumi na bajeti yako na wakati huohuo ukaingia katika ulimwengu wa mtandao?