- Thread starter
- #21
AhsanteHujielewi wewe.
AhsanteHujielewi wewe.
Wafanyabiashara huwa wanatangaza biashara zao hata kwa kulipa hela nyingi illimradi tu awafikie wateja wengi.Mkuu una mtu wa kufanya kazi, unahitaji kufanya kazi au unataka hiyo mjini kati tu shida yako itoke?
Unafanya biashara unaogopa kutaja biashara yako ilipo mkuu? Kwani location inaweza ku identify mtu?inawezekana hataki umjue,kuogopa asijiachie vizuri jf,kuogopa wasiojulikana
Umeongea kwa hasira sana mpaka umenitisha.Wafanyabiashara huwa wanatangaza biashara zao hata kwa kulipa hela nyingi illimradi tu awafikie wateja wengi.
Wewe mteja anakuuliza ni wapi unafichaficha kulikoni?
Vijana wa kazi unaowatafuta ni kweli wanaenda kufanya kazi hiyo au una jambo lingine kiasi cha kuficha sehemu biashara hiyo ilipo?
Ooh, sawa. Basi ungemjibu kwa kifupi kuwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wako huwezi kumwelekeza kijiweni kwako member aliyekuuliza zaidi ya mara moja ukamkwepaUmeongea kwa hasira sana mpaka umenitisha.
Mimi sitangazi biashara mkuu mimi nahitaji mtu wa kufanya hiyo kazi tu.
Kuhusu sehemu halisi ya kazi siwezi kukutajia kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Kazi yenyewe ndio hiyo tayari nimeibainisha hizo kazi nyingine mnazowapa vijana usifikirie kila mtu hufanya hivyo.
Kwani wewe ukiambiwa umepikiwa ugali ule lakini unakutana na pili pili utakula?
Ndio hivyo kazi Itakuwa maeneo ya mjini kati na sio sehemu za kando kando ya jiji.
Aisee sikuwa nalijua hili nitakujuza mambo yakiwa sawaSisi wengine walaji wazuri tu wa hivyo vitu
Sawa mkuuAisee sikuwa nalijua hili nitakujuza mambo yakiwa sawa
Dsm ina mjini kati sehemu nyingi, upanga, manzese, buguruni, posta, kariakoo, masaki ubungo au Sinza ?
Mkuu agiza Pepsi big hapo gharama juu yako.Acha uongo, city center haiewez kua mazense, Ubungo, Buguruni wala sinza.
Anaogopa Wabongo mtawahi fursa kufungua Biashara kama hiyo location hiyo hiyo anayotaka kufungua.Ooh, sawa. Basi ungemjibu kwa kifupi kuwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wako huwezi kumwelekeza kijiweni kwako member aliyekuuliza zaidi ya mara moja ukamkwepa