GoPPiii. JF-Expert Member Oct 6, 2014 1,787 3,050 Mar 18, 2018 #2 Kazi tunafanya tatizo mazingira ya kazi sio rafiki,kodi ziko juu,mtaji laki nne,wanataka uwe na mashine ya laki 8 eti ya risiti. Wengine wamelima na kununua mahindi wayauze kwa faida, ndoo ya mahindi ni 4000 sasa si hasara tushapata. Matatizo ni mengi sana,na pia hakuna kijana anapenda kukaa bila kazi au pasipo kuingiza pesa. Changamoto zimekuwa nyingi sana.
Kazi tunafanya tatizo mazingira ya kazi sio rafiki,kodi ziko juu,mtaji laki nne,wanataka uwe na mashine ya laki 8 eti ya risiti. Wengine wamelima na kununua mahindi wayauze kwa faida, ndoo ya mahindi ni 4000 sasa si hasara tushapata. Matatizo ni mengi sana,na pia hakuna kijana anapenda kukaa bila kazi au pasipo kuingiza pesa. Changamoto zimekuwa nyingi sana.
Cowman JF-Expert Member Feb 5, 2013 1,710 3,145 Mar 18, 2018 #4 Mimi nikajua unatoa suluhisho kumbe unatoa mipasho kisa wewe una uhakika wa kupata pesa.
Senior Boss JF-Expert Member Aug 19, 2011 3,405 3,678 Mar 18, 2018 #6 Haihitaji nguvu na akili nyingi kumjua anayekula na kulala kwa Baba.
Mwizukulu jilala JF-Expert Member Jun 11, 2016 1,095 930 Mar 18, 2018 #8 Pumavuuuuuu in zisonje voice
Tairus JF-Expert Member Mar 13, 2013 676 1,055 Mar 18, 2018 #9 Malekum mslam..watu najua hawajaona salamu hiyo!!mkuu uko sahihi sema unajua nini RAIA wana hasira ngoja akili zikikaa sawa watakuelewa..yaan ishu iko ivi vyuma vimek.. Sawa lakini mbona wenzio uliomaliza nao wametusua????
Malekum mslam..watu najua hawajaona salamu hiyo!!mkuu uko sahihi sema unajua nini RAIA wana hasira ngoja akili zikikaa sawa watakuelewa..yaan ishu iko ivi vyuma vimek.. Sawa lakini mbona wenzio uliomaliza nao wametusua????
Agenda1 JF-Expert Member Aug 11, 2017 1,695 3,400 Mar 18, 2018 #10 Huyu akishasema tu shikamoo, basi anakula ugali free of charge
Aigoo JF-Expert Member Feb 27, 2015 3,124 2,814 Mar 18, 2018 #11 Una uhakika na kazi yako shukuru mungu acha kutoa mipasho.. maisha ya mtu yanapangwa na mungu
sawee225 JF-Expert Member Jun 14, 2017 3,222 12,095 Mar 18, 2018 #12 aya mapovu yanareflect mtaa ulivyo...anyway nipo njiani na mimi naja uko uko mtaani tubanane ivo ivo