hapa ni Zidane akimtwisha ndoo Matterazi. Una lolote la kusema juu ya picha hii? Kwa mfano ilikuwa sahihi Zizou kufanya alichofanya? Unahisi ni tusi gani kubwa au neno gani baya Zizou alitamkiwa na Matterazi?
hapa ni Zidane akimtwisha ndoo Matterazi. Una lolote la kusema juu ya picha hii? Kwa mfano ilikuwa sahihi Zizou kufanya alichofanya? Unahisi ni tusi gani kubwa au neno gani baya Zizou alitamkiwa na Matterazi?
Hii inaashiria siku ambayo JK na Mgaya watakapo kutana mtaani, Zizzou ni JK na Mgaya ni Materazzi.Na hapa bonge la tusi litatoka"............................mako unataka nikose urais sio?"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.