NTABO wa NTABO
Senior Member
- Jun 25, 2017
- 190
- 221
ama kweli vita ya maneno mwachie mwanamke,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Numbisa sijakuona muda, najiuliza ni mimi niko busy au hukuwepo kweli!
Sikuwepo kwa muda. Na vile epl hamna yale majukwaa yapo likizo
Wanawake kwa Sasa tunapambana kufanya maendeleo yeye anapambana kulinda sehemu za siri za mtu.
True, yaani naona kama JF nzima imepoa.
Hope uko salama.
Salama kabisa,uwe na usiku mwema
Huu uzi unaweza sababisha Yale ya gilesi
Wanawake wazuri wazuri wameolewa/
Yamebaki manungayembe yana......./
ivi hiyo nyimbo aliimba nani?
Hahahaha kwa Sasa ana danga lingine limemficha bibie ana nyota ya bundi
Wanawake kabla hawajaolewa wanakuwaga wife material
Ukiwaoa tu wanasahau kila kitu wao miguu juu kila kitu dada fanya hivi fanya vile.
Sasa kwanini nisihame mazima ila huko sioi maana kuoa ni kujitakia matatizo mbeleni
ahahahhahahha nimetamani kumjibu nikaona asije akapambana kiroho!Huna lolote hata mumeo anachepuka tu sema hujui
Haha..usinikumbushe ya bibi gile ..hahaha
Tenaaaaaa. Huyo anaendika mikasa ndo anawapaga KICHAA CHA NDOA maana hadithi zake ni za KUFIKIRIKA kama tamthilia za kifilipinoHuna lolote hata mumeo anachepuka tu sema hujui