Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,933
- 25,268
Katika kikao cha Alhamisi, Rais Zelensky alisema Bw Guterres alikuwa na nafasi ya kushuhudia kwanza "uhalifu wote wa kivita" uliofanywa na Urusi nchini Ukraine.
Huyo Zelenski yeye ni kama wale watoto wakianza kupigana ngumi anakimbilia kusema kwa mwalimu eti fulani kanipiga...mchuma janga hula na wa kwao