UN yakosoa ahadi hewa za Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres amekosoa ahadi hewa zilizotolewa na Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan, akihimiza Mataifa kutoa fedha kwa Nchi hiyo ili kuepusha kuporomoka Uchumi

Mamilioni ya Wasichana bado wanasubiri kurejea Shule wakati vipindi kwa Wavulana vimerejea tangu Septemba, hatua ambayo imeibua wasiwasi kuhusu Elimu kwa Watoto wa Kike

Walipochukua madaraka Taliban walisisitiza Haki zitazingatiwa, lakini Wasichana kuachwa nyuma Shule zilipofunguliwa kumeleta hofu huenda Utawala utakuwa kama wa miaka ya 1990

=====

UN Secretary-General Antonio Guterres has slammed the Taliban’s “broken” promises to Afghan women and girls, and urged the world to inject cash into Afghanistan in order to prevent its economic collapse.

“I am particularly alarmed to see promises made to Afghan women and girls by the Taliban being broken,” he told reporters on Monday in New York.

“I strongly appeal to the Taliban to keep their promises to women and girls and fulfil their obligations under international human rights and humanitarian law.”

Millions of teenage girls across Afghanistan still await to return to school, while the Taliban allowed boys to attend classes last month. The move has raised concerns about the future of female education under the Taliban, who have pledged to uphold the rights of girls and women in the country when they took over power in August.

The exclusion of girls at this time has aggravated fears that the Taliban could be returning to their hardline rule of the 1990s. During that time, women and girls were legally barred from education and employment.

The group has also named an all-male cabinet, and said that women could be included later.

Guterres said he is “alarmed” to see promises “be broken”, adding that gender equality is a priority for him.

“Broken promises leads to broken dreams for the women and girls of Afghanistan,” the UN chief said. “Women and girls need to be in the centre of attention,” he added.

In his address, Guterres also urged the international community to “inject liquidity into the Afghan economy to avoid collapse”.

“We need to find ways to help the economy breathe again … And this can be done without violating international laws,” he said.

Source: Al Jazeera
 
Kwanini kuwaingilia na inchi yao?
Mbona nyie munageuzana na hawawaingilii,
Wazungu tulieni wenzenu nao wajenge inchi yao🤣
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom