UN yaisimamisha Urusi katika Baraza lake la Haki za Binadamu

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepiga Kura kuisimamisha Urusi katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja huo (UNHRC) kama adhabu kwa uvamizi wake dhidi ya Ukraine

Kati ya Wajumbe 193 wa Baraza hilo, 93 walipiga Kura ya kuunga mkono kusimamishwa Urusi, 24 walipinga na 58 hawakupiga Kura

Hii ni mara ya pili kwa Nchi kusimamishwa kwenye Baraza hilo. Libya ilikuwa ya kwanza Mwaka 2011

=======

The UN General Assembly has voted to suspend Russia from the UN Human Rights Council as punishment for the invasion of Ukraine.

Of the 193 members of the assembly, 93 voted in favor of suspension while 24 voted against and 58 abstained, suggesting weakening international unity against Russia.

It was the second ever suspension of a country from the council. Libya was the first, in 2011.

Source: Al Jazeera

TAARIFA KAMILI YA UN


The resolution received a two-thirds majority in the 193-member Assembly, with 93 nations voting in favour and 24 against.

Fifty-eight abstained from the process.

The meeting marked the resumption of a special emergency session on the war in Ukraine and followed reports of violations committed by Russian forces.

This past weekend, disturbing photos emerged from the city of Bucha, a suburb of the capital, Kyiv, where hundreds of civilian bodies were found in the streets and in mass graves following Russia’s withdrawal from the area.

Prior to the vote, Ukrainian Ambassador Sergiy Kyslytsya urged countries to support the resolution.

“Bucha and dozens of other Ukrainian cities and villages, where thousands of peaceful residents have been killed, tortured, raped, abducted and robbed by the Russian Army, serve as an example of how dramatically far the Russian Federation has gone from its initial declarations in the human rights domain. That is why this case is unique and today’s response is obvious and self-explanatory,” he said.

Gennady Kuzmin, Deputy Russian Ambassador, called for countries to “vote against the attempt by western countries and their allies to destroy the existing human rights architecture.”
 
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepiga Kura kuisimamisha Urusi katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja huo (UNHRC) kama adhabu kwa uvamizi wake dhidi ya Ukraine

Kati ya Wajumbe 193 wa Baraza hilo, 93 walipiga Kura ya kuunga mkono kusimamishwa Urusi, 24 walipinga na 58 hawakupiga Kura

Hii ni mara ya pili kwa Nchi kusimamishwa kwenye Baraza hilo. Libya ilikuwa ya kwanza Mwaka 2011

=======

The UN General Assembly has voted to suspend Russia from the UN Human Rights Council as punishment for the invasion of Ukraine.

Of the 193 members of the assembly, 93 voted in favor of suspension while 24 voted against and 58 abstained, suggesting weakening international unity against Russia.

It was the second ever suspension of a country from the council. Libya was the first, in 2011.

Source: Al Jazeera
hiyo ina madhara gani kwake? kama wana uwezo wamsimamishe kwenye baraza la ulinzi la umoja wa mataifa. ambalo kwa sasa nadhani russia mwenyewe ndo mwenyekiti.(kama sikosei)
 
Dah
JamiiForums-1924464711.jpg
 
Back
Top Bottom