Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema kwa mwaka 2020, waandishi wa habari 62 waliuawa. Idadi imeongezeka huku kesi 9 kati ya 10 za matukio huwa adhabu hazitolwi kwa watuhumiwa
Amesema #COVID19 imeonesha suala la taarifa ni suala la kufa au kupona ambapo ni muhimu kuwaacha waandishi wa habari wafanye kazi zao kwa usalama ili kukuza Demokrasia na Utawala wa Sheria
Aidha ametoa wito kwa nchi wanachama kuchunguza na kuwashtaki watu wote wanaohusika na kuwadhuru wanahabari kwa kuwateka, kuwatesa, kuwaua na kuwadhalilisha
Amesema #COVID19 imeonesha suala la taarifa ni suala la kufa au kupona ambapo ni muhimu kuwaacha waandishi wa habari wafanye kazi zao kwa usalama ili kukuza Demokrasia na Utawala wa Sheria
Aidha ametoa wito kwa nchi wanachama kuchunguza na kuwashtaki watu wote wanaohusika na kuwadhuru wanahabari kwa kuwateka, kuwatesa, kuwaua na kuwadhalilisha