Pia waliambiwa wamwachie mara moja Mbowe, Zito na wenzake, waliwaachia siku hiyo hiyo. Serikali hii ni mbabe kwa Wanyonge watanzania. Lakini huko nje ni kipepeo.Walipewa 24hrs kumwachia Seif wakamwachia usiku usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app