UN Board of Auditors, Professor Mussa Juma Assad ni mjumbe wa board hii

MWALLA

JF-Expert Member
Dec 12, 2006
16,992
10,497
Umoja wa Mataifa ina chombo kinachoitwa UN Board of Auditors, Professor Mussa Juma Assad ni mjumbe wa board hii. Wengine ambao ni wajumbe ni Rajiv Mehrishi (Comptroller na Auditor wa India), Jorge Bermúdez Soto (Comptroller wa Chile), Yupo Pia wa Wa Canada, na German.

Ni bodi inayokagua heseabu za UN pamoja na Miradi yake. Pia inatoa ushauri kwa nchi wanachama haswa kwenye masuala haya ya kikaguzi.

Kwa maana hiyo mtu anapomzungumzia Prof Assad anazungumzia mtu mwenye heshima kubwa sana Duniani katika taaluma yake. Tunapozungumzia Masuala ya Ripoti ya Tanzania na CAG mjue ni wengi wanaofuatilia hasa jumuiya za kimataifa.

World Bank, IMF wanafuatilia, nchi wahisani wanaotusaidia wanafuatilia. Si suala la kuzima moto kwa kumwalika Pierre Bungeni, ni suala la kujadili masuala mazito aliyoyabainisha CAG.

Tukishindwa kufanya hivyo basi tujitahidi sana kufanya kazi kwa bidii sana tujitegemee wenyewe. Hii issue si nyepesi kama tunavyotaka kuichukulia.

Pichani ni Prof Assad akiwa katika shughuli zake katika Board ya Ukaguzi ya UN. Huyu ndiye aliyehojiwa kwa kutumia kamusi ya TUKI.

Tuacheni utani katika mambo ya msingi

Ole Mushi
0712702602
FB_IMG_1554633206464.jpg
FB_IMG_1554633199927.jpg
FB_IMG_1554633215016.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... ni fahari kama taifa kuwakilishwa na msomi mzamivu, mwenye maadili, msema kweli, mzalendo, na mcha Mungu kama Prof. Mussa Assad kwenye chombo kizito kama hiki. Hongera sana Profesa! Those are the kind of brains we all need for the betterment of our nation and generations to come.
 
Nchi yetu ni bahati mbaya sana, wale ambao hawana cha maana kichwani, na wale ambao hata hawafikii hata werevu wa kawaida, ndio wanaonekana wa maana.

Ndugui ambaye hata soma yake pale UDSM ilikuwa ya kuchechemea, na akina Musukuma, Kibajaji na Japipo, Majimarefu, Bashite, n.k. ndiyo think tank zetu. Wale wenye upeo mkubwa na exposure ya Dunia wanaonekana siyo watu wa maana na ni watu waliokosa uzalendo kwa sababu hawawezi kuitikia kila wimbo.

Katika historia ya Dunia hii, sijawahi kuthibitishiwa kuwa kuna nchi iliwahi kufanikiwa kwa kutegemea watu wajinga, wanafiki, walioamua kuyokutumia akili zao na wakaendesha shughuli za ushabiki.

Ni bahati mbaya sana kwa Taifa letu na warithi wetu. Wakati mataifa mengine yanakimbia kwenda mbele katika kila nyanja, sisi tunapiga speed kurudi nyuma hata katika masuala ya msingi
 
Umoja wa Mataifa ina chombo kinachoitwa UN Board of Auditors, Professor Mussa Juma Assad ni mjumbe wa board hii. Wengine ambao ni wajumbe ni Rajiv Mehrishi (Comptroller na Auditor wa India), Jorge Bermúdez Soto (Comptroller wa Chile), Yupo Pia wa Wa Canada, na German.

Ni bodi inayokagua heseabu za UN pamoja na Miradi yake. Pia inatoa ushauri kwa nchi wanachama haswa kwenye maswala haya ya kikaguzi.

Kwa maana hiyo mtu anapomzungumzia Prof Assad anazungumzia mtu mwenye heshima kubwa sana Duniani katika taaluma yake. Tunapozungumzia Maswala ya Ripoti ya Tanzania na CAG mjue ni wengi wanaofuatilia hasa jumuiya za kimataifa.

World Bank, IMF wanafuatilia, nchi wahisani wanaotusaidia wanafuatilia. Si swala la kuzima moto kwa kumwalika Pierre Bungeni, ni swala la kujadili maswala mazito aliyoyabainisha CAG.

Tukishindwa kufanya hivyo basi tujitahidi sana kufanya kazi kwa bidii sana tujitegemee wenyewe. Hii issue si nyepesi kama tunavyotaka kuichukulia.

Pichani ni Prof Assad akiwa katika shughuli zake katika Board ya Ukaguzi ya UN. Huyu ndiye aliyehojiwa kwa kutumia kamusi ya TUKI.

Tuacheni utani katika mambo ya msingi

Ole Mushi
0712702602View attachment 1064929View attachment 1064930View attachment 1064931

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata UTTOUH aliwahi kuwa mjumbe kabla hajamaliza muda wake, hyo haiwezi kuwa sababu ya kulitukana bunge kwa kisingizio dunia inamtambua,
 
....
Pichani ni Prof Assad akiwa katika shughuli zake katika Board ya Ukaguzi ya UN. Huyu ndiye aliyehojiwa kwa kutumia kamusi ya TUKI.
....
Ha ha ha! Gwiji kama hilo kuhojiwa kwa kutumia kamusi ya TUKI iliyo na ufinyu mkubwa wa maneno na maana zake katika maeneo mbalimbali ya kitaalamu kama uhasibu na ukaguzi ni zaidi ya matusi. Badala ya bingwa kama huyu kupokelewa kwa heshima kubwa Bungeni kwa ripoti yake iliyotukuka badala yake Pierre Liquid ndiye wa kupokelewa kwa sherehe kubwa tena live! Vimbwanga haviishi nchi hii.
 
Ndungai ni board member wa tasisi gani.
Umoja wa Mataifa ina chombo kinachoitwa UN Board of Auditors, Professor Mussa Juma Assad ni mjumbe wa board hii. Wengine ambao ni wajumbe ni Rajiv Mehrishi (Comptroller na Auditor wa India), Jorge Bermúdez Soto (Comptroller wa Chile), Yupo Pia wa Wa Canada, na German.

Ni bodi inayokagua heseabu za UN pamoja na Miradi yake. Pia inatoa ushauri kwa nchi wanachama haswa kwenye maswala haya ya kikaguzi.

Kwa maana hiyo mtu anapomzungumzia Prof Assad anazungumzia mtu mwenye heshima kubwa sana Duniani katika taaluma yake. Tunapozungumzia Maswala ya Ripoti ya Tanzania na CAG mjue ni wengi wanaofuatilia hasa jumuiya za kimataifa.

World Bank, IMF wanafuatilia, nchi wahisani wanaotusaidia wanafuatilia. Si swala la kuzima moto kwa kumwalika Pierre Bungeni, ni swala la kujadili maswala mazito aliyoyabainisha CAG.

Tukishindwa kufanya hivyo basi tujitahidi sana kufanya kazi kwa bidii sana tujitegemee wenyewe. Hii issue si nyepesi kama tunavyotaka kuichukulia.

Pichani ni Prof Assad akiwa katika shughuli zake katika Board ya Ukaguzi ya UN. Huyu ndiye aliyehojiwa kwa kutumia kamusi ya TUKI.

Tuacheni utani katika mambo ya msingi

Ole Mushi
0712702602View attachment 1064929View attachment 1064930View attachment 1064931

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom