Mara baada ya maafisa waandamizi kuhamia Dodoma kumekuwa na mtindo mpya wa uendeshaji magari barabarani. Kila gari ya serikali itokayo Dodoma kwenda nje ya mkoa huwasha taa na kukimbia kwa mwendo kasi zaidi ya alama za barabarani.
Huu ni umwamba wa kijinga kwa kisingizio cha haraka au dhalula. Haiwezekani kila gari ya serikali iwe na dhalula na uhitaji wa mwendo kasi kiasi hicho. Matokeo yake ni hizi ajali ambazo zingeweza kuepukika.
Isingekuwa tatizo kama ajali ni zenu tu lakini ukweli ni hata waendeshaji wengine munawaingiza ktk ajali za kizembe kama hizi.
Hakuna sababu ya kutofuata sheria na alama za barabarani kwa kisingizio cha haraka au dhalula. Fuateni sheria na kuacha kuchekelea mwendo kasi. Polisi munashindwa kuwatia adabu watu hawa kwa uzembe wenu pia!
Huu ni umwamba wa kijinga kwa kisingizio cha haraka au dhalula. Haiwezekani kila gari ya serikali iwe na dhalula na uhitaji wa mwendo kasi kiasi hicho. Matokeo yake ni hizi ajali ambazo zingeweza kuepukika.
Isingekuwa tatizo kama ajali ni zenu tu lakini ukweli ni hata waendeshaji wengine munawaingiza ktk ajali za kizembe kama hizi.
Hakuna sababu ya kutofuata sheria na alama za barabarani kwa kisingizio cha haraka au dhalula. Fuateni sheria na kuacha kuchekelea mwendo kasi. Polisi munashindwa kuwatia adabu watu hawa kwa uzembe wenu pia!