zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
Baada ya kusoma taarifa hapa nimegundua kwanini watu wanapigania kuwa wanasiasa haswa ccm! yaani piga ua garagaza hata kwa pesa ndefu lazima wapate nafasi! kumbe kuna faida mpaka kwa vitukuu vyako! duuh ni nom
UPENDELEO WA WATOTO WA VIGOGO MAKAZINIBARAZA LA MAWAZIRI
Angela Kairuki – mtoto wa mama Mkwizu ni naibu waziri wa sheria
January Makamba – mtoto wa makamba ni naibu waziri wa teknologia
Dr Mathayo David Matahayo (Mathayo Cleopa David Msuya) –mtot wa Msuya ni Naibu waziri
Hussein Mwinyi – Mtoto wa Mwinyi ni waziri wa afya
Abdallah Mwinyi- mtoto wa mwinyi ni Mbunge wa EAC
WAKUU WA WILAYA
Gerald J. Guninita - Wilaya ya Kilolo
Paul Mzindakaya - Wilaya ya Busega (mpya)
Festo Kiswaga - Wilaya ya Nanyumbu (yuko ukoo wa mama Mongela)
Khanifa M. Karamagi - Wilaya ya Gairo (mpya)
Husna Mwilima - Wilaya ya Mbogwe (mpya)
John V. K. Mongella - Wilaya ya Arusha
John B. Henjewele - Wilaya ya Tarime
Agnes Hokororo – Wilaya ya Ruangwa
WABUNGE
Vita Kawawa
Zainabu Kawawa
January Makamba
Livingston Lusinde (ukoo wa Malecela)
SERIKALINI
Janeth George Kahama, - Mganga Mkuu wa Jiji la Dar es salaam
Dk. Hawa Rashidi Kawawa - Mganga Mkuu Msaidizi wa Jiji la Dar es Salaam
Dk. Guni Kate Kamba - Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni
Dk. Asha Omar Mahita - Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala
Dk. Amani Kighoma Malima - Mganga Mfadhiwi wa Hospitali ya Temeke
VYAMA VYA SIASA
Nape NNauye – mtoto wa Moses Nnauye ni katibu mwenezi CCM
January Makamba – Mtoto wa Yusufu Makamba
WATOTO WA VIGOGO WALIOPITA UVCCM NGAZI YA TAIFA.
1. DICKSON MEMBE
2. FREDY LOWASA
3. RIDHIWANI KIKWETE
4. ASHURA HUSSEIN MWINYI
5. BEN SAMWEL SITTA
6. DEBORA MWANDOSYA
7. IRENE PINDA
8. FELISTER NDUGAI
9. CHRISTOPHER NDEJEMBI
10. SHARIFA BILAL
11. HAWA KIGODA
12. JUDITH MUKAMA
13. JALOME MSEKWA
14. MBONI MHITA
15. JONAS NKYA
MASHIRIKA, TAASISI, MAKAMPUNI BINAFSI NA YA UMMA
Emanuel Mongela – mtoto wa mama Mongela ni ofisa benki ya standard charter Arusha
Patrick Mongela - MKURUGENZI wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF)
Mwamvita Makamba – mtoto wa yusufu Makamba mi ofisa wa ngazi ya juu VODACOM
Nafue Nyange Kilango Malecela- Mtoto wa Anna Kilango Malecela ni ofisa wa ngazi ya Juu NSSF
Watoto wa Vigogo BOT
Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda
Zaidi ya asilimia 70 ya hawa wasingepata vyeo hivyo kama wangekuwa watoto wa mtu wa kawaida.
By Mahamuma
Intake ya waajiriwa NSSF mwaka 2012
Miraj Lipumba,Fidea Mkapa,Nafue Nyange(Mtoto wa Anne Kilango),Danford Mahanga,John Nchimbi,Agustino G. Mkuchika,Lucy Damas(Mtoto wa Selina Kombani),Edwin Kafanabo(Mjukuu wa Gharib Bilal),Mwajuma Chaurembo,Mussa Mlawa(mtoto wa Dr.Mlawa),Issa Dihenga(mtoto wa Prof.Dihenga,katibu mkuu wizara ya Elimu),Saddallah Ramadhan(Mtoto wa Kigogo wa zamani wa usalama wa Taifa na RTD),Randof A.Shimbo,Moginge Nyerere,Aisha Seif Khatib,Omar Kimbisa na watoto wengine chungutele wa Makatibu wakuu,mabalozi na vigogo wa wizara nyeti....Je jiulize wewe mtoto wa masikini mwenye elimu yako,UTATOKAAA???...Mifuko ya Hifadhi ya jamii kama NSSF na PSPF imekuwa kimbilio la watoto wa vigogo kutokana na mishahara mikubwa wanayopeana kwa jasho la wafanyakazi wa Tanzania!!Mungu Ibariki Tanzania
Sent from Kwetu Uswazi!