amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Leo magufuli ameangukia pua baada ya kukosa kabisa watu katika ziara zake jijini dar. Kigamboni amepata robot uwanja na temeke mwembeyanga kabisa ndio kapata aibu. Alifanya ziara bila wasanii. Wachambuzi wa siasa za CCM wamesema umuhimu wa wasanii dar ni muhimu mikutano ya CCM. Muda huu mabasi ya UDA yamesambazwa jiji lote kusomba watu na kuhakikisha wanafuta aibu ya kigamboni na mwembeyanga katika mkutano wa jioni pale Biafra kinondoni. Mdau aliyepo tegeta anasema kuna mabasi 15 ya UDA pale tegeta kibaoni yanapakia watu.