Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,359
- 2,315
Huu
Vipi ambao mahakama ilijiridhisha na kutengua matokeo?
Ninachoendelea kuamini kama umeibiwa, au uchaguzi una dosari na ukapata Mwanasheria mzuri haki yako utapata tu
Hili pendekezo lako tupe mfano wa nchi zinazotumia utaratibu huu, Mahakamani yapo mengi ikiwepo namna mawakili walivyowasilisha hoja zao.Sina shida na kesi.... Shida ni ushahidi mara nyingi ushahidi huwa limited sana kuwezs kuifanya mahakama kubatili matokeo
Mfano kafulila alikuwa na matokeo ya vituo vya kuhesabia kura ila alikosa matokeo ya vituo 3 pekee na ndio ilimcost mahakamani sasa kwa staili hiyo unategemea haki itatendeka... Ila laiti kungekuwa na kamati maalum kafulila angeenda huko then wafanye uchunguzi wa kufa mtu lazima hizo tokeo za vituo 3 yangepatikana na haki yake angeipata sio kwa sasa ambapo mfungua kesi ndio athibitishe hii ni changamoto hasa kwa chaguzi zetu ambazo ni manual sana tofauti na za wenzetu wa magharibi ambazo ni elektroniki hivyo ni rahisi kutrace kila kura na nyaraka.
Vipi ambao mahakama ilijiridhisha na kutengua matokeo?
Ninachoendelea kuamini kama umeibiwa, au uchaguzi una dosari na ukapata Mwanasheria mzuri haki yako utapata tu