beevenom
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 313
- 428
Amini amini nawaambia bila michepuko kuwepo katika dunia hii wanaume wengi wangekufa sana,wengi wangekuwa machizi kabisaaaa.
NB:michepuko si mizuri lakini ina umuhimu mkubwa katika jamii hasa katika karne hii. Wito wangu ni kwamba wanaume acheni kabisa michepuko ila pale tu inapobidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
NB:michepuko si mizuri lakini ina umuhimu mkubwa katika jamii hasa katika karne hii. Wito wangu ni kwamba wanaume acheni kabisa michepuko ila pale tu inapobidi.
Sent using Jamii Forums mobile app