Uchaguzi 2020 Umuhimu wa mdahalo kwa wagombea wetu wa urais, Wananchi tunataka kujua mbivu na mbichi

Mdahalo muhimu sana, naona wananchi wa Arusha wao wameamua mdahalo uwepo hata ngazi ya kata yaani udiwani kama hapa ndani ya video hii hapa chini

 
Kweli Lissu ni noooma! kama ndivyo basi machinga wote warudishiwe 20,000/= zao.
Hapa anazidi kumpaisha Lisu Kila hoja anayojibu anamuongezea kura Lisu, kaanza nakwenye hoja yamajimbo Lisu naye anaichambua nakutoa Mifano sijui nayo Kama itamwacha salama.
 
Kama mzee baba hataki uandaliwe wa Wagombea wengine kama Lissu na Lipumba na Mama Samia kwa niaba, kisha wamwage sera ni platform nzur san ya kuomba kura
 
wameamua siyo wameamuliwa- UMEONA EE

Wamesukumwa na hoja za wananchi kutaka kuwafahamu vizuri wagombea na pia sera za vyama vyao kupitia mdahalo.

Hivyo wanasiasa mbele ya wananchi lazima wasiwe wagumu wenye ukaidi kukimbia mdahalo.
 
Wamesukumwa na hoja za wananchi kutaka kuwafahamu vizuri wagombea na pia sera za vyama vyao kupitia mdahalo.

Hivyo wanasiasa mbele ya wananchi lazima wasiwe wagumu wenye ukaidi kukimbia mdahalo.
Mkuu kama hamna imani na tume ya uchaguzi- huo mdahalo mnauendeshaje na kwa gharama ya nani? na kwa nini sasa?
 
Part 2 : 2020 MDAHALO KATI YA WAGOMBEA UDIWANI CHADEMA VS CCM : KATA ZA HUKO ARUSHA

 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom