Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Anazungusha lugha kwa manufaa ya nani? Ni uoga kwa sababu ni Verified user? Abaki kimya asi comment asome tu. Ni kama ana ndimi mbili ukimsoma vizuri. Hapendezi.Hizi sarcastic languages ni wachache sana wanaweza kukuelewa now that munkari upo juu
Offcourse uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Wewe andika kitu direct tu.
Hapo kwenye “nobody can do anything now” upo sahihi