Umuhimu wa Maalim Seif kuingia kwenye GNU ni mkubwa iwapo tu Jumuiya ya Kimataifa itashindwa kurejesha uchaguzi mpya Tanzania

Hizi sarcastic languages ni wachache sana wanaweza kukuelewa now that munkari upo juu
Offcourse uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Wewe andika kitu direct tu.

Hapo kwenye “nobody can do anything now” upo sahihi
Anazungusha lugha kwa manufaa ya nani? Ni uoga kwa sababu ni Verified user? Abaki kimya asi comment asome tu. Ni kama ana ndimi mbili ukimsoma vizuri. Hapendezi.
 
Kama hivyo ndivyo basi nashauri Maalim Seif aufikirie upya msimamo wa kushiriki offer ( ya kinafiki) ya Dr Hussein Mwinyi kwa sababu zifuatazo.
Sio offer Amiii,ni katiba inamtaka Sefu awe Makamu wa kwanza wa Rais
Ana uhuru wa kuchagua afanye kazi aendelee kuonekana au asuse tena mpaka 2025 atakapofikisha umri wa miaka 100
 
Uchanguzi umekwisha, ulikuwa huru na wa haki, mshindi amepatikana ki haki na ki halali na ameapishwa, there is no one can do anything now ni kusubiria uchaguzi mwingine ni 2025!.
P
Wewe ndio mwandishi wa habari dah Tanzania tuna kazi ya ziada ila ipo siku Mungu atatoa hukumu kubwa zaidi kama hujajifunza endelea kuziba ufahamu wako kwasababu ya maslahi
 
Huku bara wananchi wametuma ujumbe mzito Sana kwa wanaodai kukandamizwa.
Beberu mwanasheria Amsterdam amepata ujumbe pia.
 
Hahaha sasa akiingia huko serikali ya mseto itasaidia nini?!

Kukubali kuingia kwenye mseto ni kukubaliana na wizi na kuwadanganya wananchi, ni ujinga na urafi wa vyeo vya kijinga.
Tafakari na madhara ya kukaa nje mini kitatokea. Kuna hatari ya hata vyama kufutwa, wafuasi kuzidi kukandamizwa, kutengwa kwenye ajira, ubaguzi kuzidi na mengineyo.
Acha ashiriki atapata kuuarifu umma kilicho ndani na umma utakuwa nae
 
Tafakari na madhara ya kukaa nje mini kitatokea. Kuna hatari ya hata vyama kufutwa, wafuasi kuzidi kukandamizwa, kutengwa kwenye ajira, ubaguzi kuzidi na mengineyo.
Acha ashiriki atapata kuuarifu umma kilicho ndani na umma utakuwa nae
Hahaha amewahi kuwa humo na haiumsaidia chochote, labda zaidi yeye alipata mahahara na gari na dereva, pia ulinzi.

Wazanzibari hawakupata nafuu yoyote.
Kujiunga na wezi na wahujumu wa haki ni kuhalalisha wizi na hujuma kwa Wazanzibari.

Hana cha kuoteza na hana cha ku gain, akae alipo atulizane.

Kwanza ni usaliti kwa umma waliompigia kura. Kujiunga na mseto ni kufata maslahi binafsi sio ya umma wa Wazanzibari.

Hamad Rashid aliye hasi CUF nakuanzishiwa ADA na kujiunga nao leo yuko wapi?!

Shetani anakuona mzuri ukikubali kutumika tu, ukikataa kutumika kutekeleza uovu wake hata wewe anakuteketeza.

Hakuna faida kujiunga nao, kama wewe unataka nenda kajiunge nao kisha utuletee mrejesho hapa.
 
Uchanguzi umekwisha, ulikuwa huru na wa haki, mshindi amepatikana ki haki na ki halali na ameapishwa, there is no one can do anything now ni kusubiria uchaguzi mwingine ni 2025!.
P
Tatizo wenye "haki" ya kuwa wabunge na Marais wamekosa hiyo "Haki" Sasa "lazima uchaguzi urudiwe".
 
Nimejaribu kuobesha hayo ili kupima faida na hasara.

Kwa mwelekeo huo bila mataifa kuingilia bora hivyo kuliko vyengine
Hahaha amewahi kuwa humo na haiumsaidia chochote, labda zaidi yeye alipata mahahara na gari na dereva, pia ulinzi.

Wazanzibari hawakupata nafuu yoyote.
Kujiunga na wezi na wahujumu wa haki ni kuhalalisha wizi na hujuma kwa Wazanzibari.

Hana cha kuoteza na hana cha ku gain, akae alipo atulizane.

Kwanza ni usaliti kwa umma waliompigia kura. Kujiunga na mseto ni kufata maslahi binafsi sio ya umma wa Wazanzibari.

Hamad Rashid aliye hasi CUF nakuanzishiwa ADA na kujiunga nao leo yuko wapi?!

Shetani anakuona mzuri ukikubali kutumika tu, ukikataa kutumika kutekeleza uovu wake hata wewe anakuteketeza.

Hakuna faida kujiunga nao, kama wewe unataka nenda kajiunge nao kisha utuletee mrejesho hapa.
Kama utaitazama jamii kwa upana wake utauona umuhimu. Tatizo Zanzibar INA hali tofauti. Kule kuna ukoloni. Network ya ndani na nje ni muhimu.

Natafakari tu akiingia ndani na kuimarisha network na huku nje akiwa na umma, nini kitatokea?

Nje ya kuingilia mataifa kwa gia kubwa nini kifanyike kuhami demokrasia na ujinga uliopo wa watanzania wengi?
 
Uchanguzi umekwisha, ulikuwa huru na wa haki, mshindi amepatikana ki haki na ki halali na ameapishwa, there is no one can do anything now ni kusubiria uchaguzi mwingine ni 2025!.
P
Je Elimu yetu has been crafted to make us lame, weak, timid, meek and subservient? Kwa nini tunakuwa wepesi kujisalimisha hasa haki inapoporwa Kibabe? Kwa nini tumekuwa na woga hata kuongea na kupigia kelele wizi huu wa kura na uchaguzi? Nani katufanya bubu, viziwi na vipofu?
 
Tafakari na madhara ya kukaa nje mini kitatokea. Kuna hatari ya hata vyama kufutwa, wafuasi kuzidi kukandamizwa, kutengwa kwenye ajira, ubaguzi kuzidi na mengineyo.
Acha ashiriki atapata kuuarifu umma kilicho ndani na umma utakuwa nae
Waache wafute hivyo vyama, kwani vikiwepo vinatulipa mshahara?!
Sisi tunataka haki sio kupewa hongo mtu mmoja ili kutunyamazisha mamilioni.

Kwanini wao ccm wasiache ACT iongoze kwama ni rahisi hivyo kwako?!

Kila siku nyie ndio gunia la deki,upuuzi mkubwa huu, waache watawale peke yao, na tuone hayo maendeleo wanayoleta Zanzibar.

Wao hawataki kusikia mwenzao anashinda wewe unataka aingie kuwasafishia uovu wao.
 
Waache wafute hivyo vyama, kwani vikiwepo vinatulipa mshahara?!
Sisi tunataka haki sio kupewa hongo mtu mmoja ili kutunyamazisha mamilioni.

Kwanini wao ccm wasiache ACT iongoze kwama ni rahisi hivyo kwako?!

Kila siku nyie ndio gunia la deki,upuuzi mkubwa huu, waache watawale peke yao, na tuone hayo maendeleo wanayoleta Zanzibar.

Wao hawataki kusikia mwenzao anashinda wewe unataka aingie kuwasafishia uovu wao.
Maneno yako maxima,Mwinyi hakubaliki wala hakushinda,wala hatopendwa,ccm wenziwe na wapinzani,na yeye analijua vizuri hilo, kutaka maongezi na Maalim ni kutaka kumtumilia ajisafishe na watu wamkubali,kishiriki kwenye serikali haramu halina umuhimu kwa waznzbar wala kwa maalim,zaidi ya kutaka kumtumilia.
Na watawale tu peke yao tuone hayo mepya Kama wanayo,sheni alisema ataifanya znz Kama Dubai, kaondoka kawacha vizuka na mayatima.
 
Nimeona hiyo unayoita jumuiya ya kimataifa ikishiriki kuapishwa kwa Mwinyi meaning wanakubali ushindi halali wa Mwinyi.

Same applies to Magufuli, nao pia watashiriki.

Kumpiga mtu gap ya kura milioni kumi sijui utatumia grounds gani kusema kuwa kulikuwa na fraud, wakati uliweka mawakala wako, inachekesha mno.

Upinzani wa hapa nyumbani ni comedy tupu.
 
Bila aibu kabisa na elimu yako yote hiyo Tena ya sheria
Tusikose utu tukafikia kudhalilisha maiti for political mileage!. Picha hizo are not for public consumption, ni picha za kutumika as evidence of atrocities na zinatakiwa kuwasilishwa kwenye vyombo husika, ikiwemo Tume ya Haki za Binaadam na Utawala Bora, na vyombo vya sheria na sio kuwaanika marehemu wetu huku kwenye kadamnasi ya watu, zitaacha stigmatise wapendwa wao na kuwasababishia tatizo la stigmata kwenye mioyo yao for life, kila wakiwakumbuka.
This is morbid curiosity.
JF as a public media should stop this!.
P
 
Uchanguzi umekwisha, ulikuwa huru na wa haki, mshindi amepatikana ki haki na ki halali na ameapishwa, there is no one can do anything now ni kusubiria uchaguzi mwingine ni 2025!.
P
Kwa kuongezea tu, jitihada zozote zisizo za kikatiba za kumuundermine au kumtoa madarakani Rais aliyeapishwa ni uhaini.
 
Back
Top Bottom