Umuhimu wa kuwa mfano kwenye malezi

Shayu

Platinum Member
May 24, 2011
608
1,653
Kufikiri kwamba watoto wetu watakuwa wenye tabia njema wakati sisi hatuna tabia njema ni kama kuwa na matumaini kwamba kunguru atazaa kuku siku moja. Tutawafundishaje tabia njema wakati sisi hatuna? Tunapaswa kwanza kutengeneza tabia zetu.

Jamii hupotoka pale wazazi wanaposhindwa kutimiza wajibu wao. Na mataifa huangamia watu wanapokuwa na tabia mbovu.

kudhani kwamba watoto watakuwa na tabia njema wakati sisi hatuna ni mawazo yasiyo na hekima.

Kumbukeni sisi ndio tunaotayarisha kizazi kijacho kushika hatamu ya nchi hii. Swali tunawatayarishaje? Na tabia zinacheza nafasi kubwa sana katika maendeleo ya nchi. Ingawaje tunapuuzia.

Je sio kweli good behaviours will always make nations prospered?

Binadamu sio sawa sawa na miti ambayo inajikulia bila maelekezo. Order ya nchi hutegemea tabia za watu wake hasa vijana na jinsi gani wamelelewa na kuwa managed katika ngazi ya familia. Nidhamu na utii huanzia huko. Police can not do anything kama huko pakifeli.

Tutawafundishaje tabia njema wakati sisi hatuna? Tuwe mfano kwanza.

Watoto wanajifunza zaidi kwa kuona sio kwa maneno ambayo yanapishana na matendo. Then tukiwalea watoto wetu vyema tutakuwa tumetoa mchango mkubwa sana kwa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAWAZO KUHUSU MALEZI

Ni mekuwa nikiamini hata mama wa nyumbani ambaye hafanyi kazi, Lakini anajitolea kwa nguvu zake zote kulea na kutunza familia, ambaye anataka kuiona familia yake ikistawi, na akili yake yote ameiweka huko, sio kwenye umbeya au kwenye mambo yasiyo na tija, bali ni katika kulea watoto wake na kuwakuza kuhakikisha wana maadili na nidhamu, juhudi na maarifa. Huyu mama anayeweza ku control mwili wake usiharibu devotion yake katika malezi na katika familia with undivided attention, anaweza kuzalisha watoto wenye majina makubwa tukashangaa. Starehe zimeharibu kina mama wengi, zikaharibu pia watoto wao. Hili ni lazima tuliangalie kwa umakini.Sio tu kwa kina mama hata sisi kina baba starehe zimetuharibu zimetufanya ku lose focus kwa kile kilichobora na cha muhimu. Like our nation and our families. Tumekosa self control. Hatuwezi kuwa na dira kama taifa kwa aina ya maisha tunayoishi. We will increase our social division. But we need to mobilize people and have a common purpose, common agenda. But we must first build a foundation.

Huyu mama ni mwenye thamani kubwa kwa taifa. Taifa hili linahitaji watu honest sio wenye elimu tu bali watu wenye maadili na nidhamu. Na huyu mama atazalisha watu hao. Atajenga juhudi zao, nidhamu zao na maadili yao.

Motherhood is a full time devotion. It is a commitment. Ama sivyo utaishi na kuona mtoto wako akiharibikiwa mbele ya macho yako. Ni wajibu wa wazazi kuwaongoza watoto wao katika njia ya unyoofu. Kama tutashindwa kufanya hivyo tutakuwa hatujatimiza wajibu wetu na baadae yetu kama taifa itakuwa mashakani. Kuna msemo ambao uko miongoni mwetu MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO. Huu msemo sio mgeni kwetu. Lazima tuwatayarishe watoto wetu wawe bora zaidi yetu. Hili halijitokezi lenyewe, watu lazima wafanye effort. Tabia njema hupandwa na hatuwezi kuendelea pasipo kuwajenga watu wetu kuwa na mtazamo bora.

Tunaposhangaa watu wabaya wameingiaje katika mifumo ya kiserikali tujiulize pia kuhusu makuzi na malezi yetu. Tumewakuzaje hadi wakafika huko walipo hadi leo tunawalaumu? Tufikirie kuhusu hili pia na kama kuna haja ya kubadili mifumo yetu ya elimu na malezi tufanye hivyo. Wamepenyaje penyaje na kupata nyadhifa hizo kubwa ambazo leo tunawalalamikia kwa kuzitumia vibaya kwa rushwa na ufisadi? Tuangalie mifumo yetu ya malezi na makuzi.

Swali tutawapataje watu bora ambao wataingia kwenye hiyo mifumo tunayoilalamikia leo? Ili waje kutu serve katika maadili yanayotakiwa? Haya yote yana husiana na malezi na elimu tunayowapa watu wetu. Hayatokei hivi hivi kuna root cause. Kama tunataka kuendelea lazima tuwe na plan nzuri na strategy zinazoeleweka. Government can not do it alone. Naongelea kuhusu mama wa namna hii na formation ya behaviours neccesary for national development.

Mama wa namna hii ana mchango mkubwa sana katika taifa hili. Mchango wake ndio huzaa vijana wenye nidhamu na maadili na kutokuwajibika kwake huzaa vijana harmful kwa jamii. Na hili husababisha taifa kutokuendelea. Wakina mama wana mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa. We need that devotion back to our country and serious on the matter of the family.
Kufikiri kwamba watoto wetu watakuwa wenye tabia njema wakati sisi hatuna tabia njema ni kama kuwa na matumaini kwamba kunguru atazaa kuku siku moja. Tutawafundishaje tabia njema wakati sisi hatuna? Tunapaswa kwanza kutengeneza tabia zetu.

Jamii hupotoka pale wazazi wanaposhindwa kutimiza wajibu wao. Na mataifa huangamia watu wanapokuwa na tabia mbovu.

kudhani kwamba watoto watakuwa na tabia njema wakati sisi hatuna ni mawazo yasiyo na hekima.

Kumbukeni sisi ndio tunaotayarisha kizazi kijacho kushika hatamu ya nchi hii. Swali tunawatayarishaje? Na tabia zinacheza nafasi kubwa sana katika maendeleo ya nchi. Ingawaje tunapuuzia.

Je sio kweli good behaviours will always make nations prospered?

Binadamu sio sawa sawa na miti ambayo inajikulia bila maelekezo. Order ya nchi hutegemea tabia za watu wake hasa vijana na jinsi gani wamelelewa na kuwa managed katika ngazi ya familia. Nidhamu na utii huanzia huko. Police can not do anything kama huko pakifeli.

Tutawafundishaje tabia njema wakati sisi hatuna? Tuwe mfano kwanza.

Watoto wanajifunza zaidi kwa kuona sio kwa maneno ambayo yanapishana na matendo. Then tukiwalea watoto wetu vyema tutakuwa tumetoa mchango mkubwa sana kwa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom