Fikra Angavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 301
- 105
Ni kwa sababu tuna kipuuza.. Tunakiona hakina maana kisa tunakiongea... Hatujui kama kinaweza kutuvusha sehemu moja kwenda nyingine.Mbona somo la Kiswahili kwenye continuous assessments na matokeo ya mwisho wanafunzi na wahitimu wote hawapati A wakati wanazungumza Kiswahili halafu kati yao wanafaulu vizuri Kiingereza kama somo.
Hatujawahi kuamini kama kuna kitu cha kwetu hata kimoja kinaweza kutuletea maendeleo...!