nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 644
- 1,006
Habari
Ni hakika ya kwamba kila Mtu anatambua kwamba kila kitu katika Maisha Yetu ni Mungu kwanza.Kumbe hata katika Mahusiano ambayo badae huzaa ndoa ni Matamanio ya Wanawake wengi. Nasema wanawake ama wasichana sababu wao hupenda kwa kumaanisha tofauti kidogo na wanaume/wavulana ambao asilimia kubwa huwa ni tamaa kwanza then upendo baadae japo sio wote.
Unapokuwa shule, yaani Sekondari na chuo ni kipindi ambacho unapaswa kumuomba Mungu kwa ajiri ya Mke au Mume wako. Katika kuomba kwako ni dhahiri Mungu anaona umemuheshimu. Hivyo mbali na mengine hukukinga na waharibifu kwa maana wachezeaji. Yeye huwafukuzia mbali bila wewe kujua. Na utapata nguvu ya ajabu ya kujitambua. Uwe wa kiume au kike.
Na hata Mungu anaweza kukuonyesha Mume au Mke wako kabla hata hujakutana nae. Maana Yeye ni Rafiki. Hii huenda sambamba na Yeye kukuchagulia Marafiki wazuri wa wewe kufanana nao. Hii huja automatic
Tunajisahau tunamshirikisha Mungu atupe mke au mume wakati hapo mwanzo hatukumshirikisha ya kwamba ulichagua njia yako basi nae akakuacha. Hii husababisha unakuwa na wapenzi ambao watakuumiza kila siku badae unajikuta unasema GOD WHY ME, GOD WHEN. Mda huo hauna Mvuto tena. Umezalishwa umeachwa uliye mpenda siye ALIYEKUOA/ULIYEMUOA ila umezalisha nje.
Ujana ni Maji ya Moto ukikosea katika ujana basi umeharibu hata uzee wako. Makosa mengi katika mahusiano ni sababu tumetumia sana akili zetu kwa Muda mrefu na kuwatumainia wale tunaodhani tunawapenda kumbe ni machaguo Yetu lakini sio Mungu katupa. Ndio maana kuna kusalitiana, kuuana na kuishi maisha ya uongo katika Ndoa ama mahusiano.
-ITAKUSAIDIA KULINDA KUTUNZA USICHANA WAKO MPAKA MDA WA NDOA
-ITASAIDIA KUZAA UKIWA NDANI YA NDOA
-ITASAIDIA WEWE KUOLEWA MAPEMA UKIWA TAYARI
-ITASAIDIA KUOLEWA NA MUME SAHIHI
-ITASAIDIA BARAKA KATIKA NDOA YAKO SBB HUJABEBA ROHO ZINGINE ZA WATU WENGINE KTK UJANA WAKO
- NI SABABU UMEMUHESHIMU MUNGU KATIKA MAHUSIANO YAKO.
Mke mwema anatoka kwa Mungu, na rafiki mwema Pia. Tusiache kuomba kwa ajiri ya yale tunayoyatarajia maana kesho Yetu ni nzuri zaidi. Aombaye hupewa.
Ni hakika ya kwamba kila Mtu anatambua kwamba kila kitu katika Maisha Yetu ni Mungu kwanza.Kumbe hata katika Mahusiano ambayo badae huzaa ndoa ni Matamanio ya Wanawake wengi. Nasema wanawake ama wasichana sababu wao hupenda kwa kumaanisha tofauti kidogo na wanaume/wavulana ambao asilimia kubwa huwa ni tamaa kwanza then upendo baadae japo sio wote.
Unapokuwa shule, yaani Sekondari na chuo ni kipindi ambacho unapaswa kumuomba Mungu kwa ajiri ya Mke au Mume wako. Katika kuomba kwako ni dhahiri Mungu anaona umemuheshimu. Hivyo mbali na mengine hukukinga na waharibifu kwa maana wachezeaji. Yeye huwafukuzia mbali bila wewe kujua. Na utapata nguvu ya ajabu ya kujitambua. Uwe wa kiume au kike.
Na hata Mungu anaweza kukuonyesha Mume au Mke wako kabla hata hujakutana nae. Maana Yeye ni Rafiki. Hii huenda sambamba na Yeye kukuchagulia Marafiki wazuri wa wewe kufanana nao. Hii huja automatic
Tunajisahau tunamshirikisha Mungu atupe mke au mume wakati hapo mwanzo hatukumshirikisha ya kwamba ulichagua njia yako basi nae akakuacha. Hii husababisha unakuwa na wapenzi ambao watakuumiza kila siku badae unajikuta unasema GOD WHY ME, GOD WHEN. Mda huo hauna Mvuto tena. Umezalishwa umeachwa uliye mpenda siye ALIYEKUOA/ULIYEMUOA ila umezalisha nje.
Ujana ni Maji ya Moto ukikosea katika ujana basi umeharibu hata uzee wako. Makosa mengi katika mahusiano ni sababu tumetumia sana akili zetu kwa Muda mrefu na kuwatumainia wale tunaodhani tunawapenda kumbe ni machaguo Yetu lakini sio Mungu katupa. Ndio maana kuna kusalitiana, kuuana na kuishi maisha ya uongo katika Ndoa ama mahusiano.
-ITAKUSAIDIA KULINDA KUTUNZA USICHANA WAKO MPAKA MDA WA NDOA
-ITASAIDIA KUZAA UKIWA NDANI YA NDOA
-ITASAIDIA WEWE KUOLEWA MAPEMA UKIWA TAYARI
-ITASAIDIA KUOLEWA NA MUME SAHIHI
-ITASAIDIA BARAKA KATIKA NDOA YAKO SBB HUJABEBA ROHO ZINGINE ZA WATU WENGINE KTK UJANA WAKO
- UTAHESHIMIKA KWA MUME WAKO
- NDOA YAKO ITALINDWA NA MUNGU HAPA HAKUNA HOFU ZA UCHEPUKAJI
- WATOTO WAKO HAWATAKUTESA
- UTAWAPA HESHIMA WAZAZI WAKO
- NI SABABU UMEMUHESHIMU MUNGU KATIKA MAHUSIANO YAKO.
Mke mwema anatoka kwa Mungu, na rafiki mwema Pia. Tusiache kuomba kwa ajiri ya yale tunayoyatarajia maana kesho Yetu ni nzuri zaidi. Aombaye hupewa.