Anko Bantu
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 325
- 321
Usisahau kuwa geto kupiga pasi ndefu kwa siku ni kitu cha kawaida,sio siku 1 umepiga pasi ndefu unaanza kupiga simu wakurushie hata buku 5
Unafanya mazoezi kweli? Au kukaa kitako na video games ndio mwisho.Hii kitu ina umhimu wake aisee, natamani siku moja nipange room, nianze kujitegemea, kikubwa room yangu sitaki ikose Pad na Tv kwa ajili ya game, yaani game kwa kwenda mbele.
Mbali na uchumi kwangu kua mgumu, kitu inayonikimbiza kupanga, ni kupika kupika so kazi ya kitoto aisee, alafu kuna na kudeki unaweza ukavunjika ata uti wa mgongo kisa kuinama inama asubui.
mambo ya kufagia, sasa apo ndo tutamalizana na majirani.
alafu uzuri wa geto nasikia ua kuna watu wanatafunwa kama mihogo, wakuu wekeni wazi usumbufu ulioko geto, raha za geto, pamoja na mihangaiko,
Gheto linahitaji hekima ktk swala la umeme maana unaweza toana meno na wapangaji wenzako au mama mwenye gheto.
Nakumbuka kipindi naanza maisha ya magetoni nilinunua tv kabla ya godolo,niliomba ruhusa kazini alafu nikaazima CD 15 nilikuwa nakesha hadi asbuhi naangalia Tv,ila swala la usafi kwangu ilikuwa mtihani.
huuu n uchochezi😂😂ghetto huwa halidekiwi
uyo alikua ataki umkamue kabisa
Ni kuweka misimamo tu, mi ghetoni kwangu siruhusu washikaji kuja kulitumia, gheto ni kwa ajili yangu na siruhu wadau kuja kushinda gheto kama sehemu ya kupumzika.Ghetto utakuwa unalipa kodi mwenyewe na washkaji wote watahamia humo,solution ni kuwa na Demu king'ang'anizi kila time yupo ghetto