Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,546
- 19,407
Nyerere anakumbukwa kwa mengi katika historia ya Tanzania, lakini kubwa linalomtofautisha na maraisi wenzie ni kuwa aliondoka madarakani wakati angeliweza kuendelea, ukimwacha Abdul Wakil wa Zanzibar. Baada ya hapo maraisi wote waliomfuatia Nyerere wamekuwa wanaondoka madarakani kwa mujibu wa katiba baada ya kutawala kwa miaka kumi, na kuna waliojaribu kuongezea muda huo.
Nadhani Kikwete anaweza kuja kukumbukwa sana kama rais wa kwanza Tanzania kuachia madaraka hayo kwa hiari baada ya kutopata kura za kutosha; yaani hakupenda kutumia madaraka hayo vibaya kujiongezea muda wa kutawala kama alivyofanya Kibaki na Mugabe.
Nadhani Kikwete anaweza kuja kukumbukwa sana kama rais wa kwanza Tanzania kuachia madaraka hayo kwa hiari baada ya kutopata kura za kutosha; yaani hakupenda kutumia madaraka hayo vibaya kujiongezea muda wa kutawala kama alivyofanya Kibaki na Mugabe.