Umuhimu wa 3g ni upi?

Dec 11, 2010
3,321
6,328
Ndugu zangu.
Naomba kufahamishwa matumizi na umuhimu wa huduma ya 3G. Nimesikia watu wa mijini wakiisifu huduma hii kutoka kwenye kampuni ya airtel.
Naombeni mnijuze umuhimu wake.
 
3G ni huduma ya mbele zaidi baada ya GPRS na EDGE..inawezesha spidi kali katika matumizi ya data hasa katika internet na application zinazohitaji memory kubwa na high processing speed
 
Ndugu zangu.Naomba kufahamishwa matumizi na umuhimu wa huduma ya 3G. Nimesikia watu wa mijini wakiisifu huduma hii kutoka kwenye kampuni ya airtel.Naombeni mnijuze umuhimu wake.
swali lako ni sawa na kuuliza umuhimu wa kompyuta ni nini?
 
So with 3G your mobile phone can access mobile video calls, internet, online Tv, internet
 
Ndugu zangu.
Naomba kufahamishwa matumizi na umuhimu wa huduma ya 3G. Nimesikia watu wa mijini wakiisifu huduma hii kutoka kwenye kampuni ya airtel.
Naombeni mnijuze umuhimu wake.
kama jet vile
 
3G ni rating ya spidi ambayo network inaweza kutoa, kwa bahati mbaya hakuna namba yoyote ambayo inakubalika kuwa 3G ndo inaanzia au kuishia. Pia kwa vile una network ambayo inaweza kutoa spidi za 3G haina maana kuwa inatoa spidi za 3G, kwa hiyo jihadhari na hilo.

ITU has not provided a clear definition of the data rate users can expect from 3G equipment or providers. Thus users sold 3G service may not be able to point to a standard and say that the rates it specifies are not being met...........................
the ITU does not actually clearly specify minimum or average rates or what modes of the interfaces qualify as 3G, so various rates are sold as 3G intended to meet customers expectations of broadband data.
 
After all the movement from First Generation of mobile Technology(1[SUP]st[/SUP]Generation i.e. 1G) that includes the GSM(Global System for Mobilecommunication)whereby the customer was able to make and receive voice calls aswell as sending and receiving sms.
Innovation paved its way to Second Generation(2[SUP]nd[/SUP] Generationi.e. 2G)whereby GPRS(General Packet Radio Service) was added to GSM to enablethe internet service access on the mobile phones whereby the customer was nowable to make and receive voice calls , sending and receiving sms as wellas accessing the internet service.
Further innovation stepped the Second Generation to Third Generation(3[SUP]rd[/SUP]Generation i.e. 3G) in which High Speed PacketData Access(HSPDA) was defined.
In this 3G , the cell phone users are not onlycapable of making voice calls but also video calls as well as watching streaming links(hapa waweza angalia movies,mpira etc kwenye simu yako yenye uwezo wa 3G. kifupi speed ya internet yako ni kubwa kuliko kwenye simu za 2G.
 
Back
Top Bottom