Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,588
- 215,184
Unakuta shati la Gucci linauzwa shillingi laki tano za ki- bongo na wakati mashati mazuri ya Egyptian cotton yanauzwa Tshillings 50,000 lakini kuna watu Wataona ufahari kumiliki shati la Gucci kabatini mwake.
Kununua designer gear ni ufahari au hulka tu ya mtu?
Kununua designer gear ni ufahari au hulka tu ya mtu?