Mimi napenda vitu vizuri,vya gharama. Ndivyo nilivyo. Si kwamba ni show off,bali ndivyo nilivyo. Ninahisi kuwa na amani nikimiliki kitu cha gaharama kubwa. Sinaga kampani za mashosti hata niseme kuwa najilinganisha nao,bali ni tabia yangu ilivyo. So msihukumu mtu anayevaa brand kubwa kubwa na bei kwa kuwa kuna mavazi ya bei ndogo nayo ni mazuri.
Kila mtu ana preference zake kwenye mahitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.