Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,508
- 46,039
Nafahamu katiba inasema wazi mtu atakayeshika nafasi ya urais wa JMT anapaswa kuwa na miaka 40 na kuendela ila sifahamu katiba inatoa maelekezo gani kuhusu umri wa makamu wa Rais. Aliye na ujuzi wa hali anifahamishe.
Pia tumeshudia Rais Magafuli alivyowependwa na watu kiasi cha kuanza kufiria kuibadili katiba na kumuongezea muda jambo ambalo nafikiri lingekuwa hatari katika nchi ambayo bado demokrasia haijakomaa kiasi cha kutosha.
Kusema hayo ni kwamba tunaweza kuja kupata Rais amabaye ni kijana wa miaka 40 au hata miaka 50 na akapendwa kuzidi magufuli kisha ukomo wa muda Urais ukaondolewa kabisa na tukajikuta na Rais wa muda mrefu kama Museveni au Kagame.
Hivyo basi napandekeza yafanyike mabadiliko angalau madogo katika katiba yetu kuongeza umri wa kushika nafasi ya Urais hadi miaka 60 kutoka 40 ya sasa ili hata kama akipendwa sana na katiba kubadilishwa kwa sababu yake akiwa na miaka 70 bado asiwe na muda mrefu wa kukaa madarakani.
Pia tumeshudia Rais Magafuli alivyowependwa na watu kiasi cha kuanza kufiria kuibadili katiba na kumuongezea muda jambo ambalo nafikiri lingekuwa hatari katika nchi ambayo bado demokrasia haijakomaa kiasi cha kutosha.
Kusema hayo ni kwamba tunaweza kuja kupata Rais amabaye ni kijana wa miaka 40 au hata miaka 50 na akapendwa kuzidi magufuli kisha ukomo wa muda Urais ukaondolewa kabisa na tukajikuta na Rais wa muda mrefu kama Museveni au Kagame.
Hivyo basi napandekeza yafanyike mabadiliko angalau madogo katika katiba yetu kuongeza umri wa kushika nafasi ya Urais hadi miaka 60 kutoka 40 ya sasa ili hata kama akipendwa sana na katiba kubadilishwa kwa sababu yake akiwa na miaka 70 bado asiwe na muda mrefu wa kukaa madarakani.